Sales Representatives (Afisa Mauzo)
Platinum Credit Ltd ni kampuni inayotoa huduma ya mikopo ya dharura kwa watumishi wa serikali ya Tanzania na wafanya biashara raia wa kitanzania wa rika la kawaida na rika la kati. Kampuni imejizatiti kuhakikisha huduma zake kwa wateja zinapatikana ndani ya...
Riba kwetu sio tatizo na malalamiko ya riba ni machache sana kwani riba ana jichagulia mtumishi kutokana na muda atakao kaa na mkopo wetu hivyo mtumishia akimaliza kutatua shida yake anafuta mkopo muda wowote.Watumishi wengi wanafurahia huduma hii na wanakuja kwetu kukopa kila mara anapo pata...
Watumishi wa serikali wata endelea kukopa mpaka mwisho wa dunia na tuna washukuru kwa kutupongeza kwa huduma zetu nzuri na tuna ahidi kuendelea kuwapa huduma nzuri kila kukicha.Kamisheni zetu ni nzuri sana na maafisa mauzo wengi wana zifurahia maana tuna lipa mara mbili kwa mwezi.
Kama kweli umefanya research ya kutosha wiki nzima na kuja na mahesabu kama haya na wasiwasi sana na uwezo wako.Hatulipi asilimia moja na vilevile hio tax is it withholding tax?Is NHIF compulsory for agents? kuna vitu vingi sana huvijui nakushauri usipotoshe watu walio tayari kufanya kazi kwa...
Watumishi bado ni wengi wana endelea kukopa na wataendelea kukopa kwa sababu tupo tayari kuwasaidia kutatua matatizo yao ya haraka.Katika kazi kila mtu ana majukumu yake hao wadada wa ghorofani una waita na nukuu wanafanya kazi ya kutafuta wateja kwa njia ya simu yaani 'telesales' na wanapata...
Sales Representatives (Afisa Mauzo)
Platinum Credit Ltd ni kampuni inayotoa huduma ya mikopo ya dharura kwa watumishi wa serikali ya Tanzania na wafanya biashara raia wa kitanzania wa rika la kawaida na rika la kati. Kampuni imejizatiti kuhakikisha huduma zake kwa wateja zinapatikana ndani ya...
Nashukuru kwa maoni yako kukopa mil 5 na kurudisha mil 19 sidhani kama ni sahihi ila mteja anaekaa na mkopo kwa kipindi kiirefu anarudisha zaidi sasa sijui alichukua mkopo huo kwa muda gani.Kwenye kazi hii elimu tunazingatia ila cha zaidi ni moyo wa kufanya kazi watanzania wengi ni wavivu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.