Nafasi za kazi maafisa mauzo

Nafasi za kazi maafisa mauzo

Jambo unalosema sio sahihi kwani unashindwa kutofautisha bank na microfinance institutions una hitaji elimu ya provision of emergency loans kwanza riba ulizotaja sio sahihi mteja ana chagua riba kutokana na muda atao kaa na mkopo wake na anaweza futa deni muda wowote.
Rudisha simu kwa mwenyewe kaka maana daah
 
Hapana sio kweli malipo yapo ya aina mbili transport on daily basis ukipata mteja na asilimia 7 commision paid on monthly watu wengi wana nufaika na kazi hii usikatishe watu tamaa.
Wewe jamaa ni so selfish sana yani bila aibu unasema mnalipa 7% sasa hyo ni 0.07 ukizidisha na hata kwa 3,000,000 ni 210,000 hapo toa hata tax ambayo ni 30,000 unabaki na shilling ngapi acha upuuzi na ubaya wewe
 
Usikatishe watu tamaa wewe kama huhitaji kazi tulia nawashukuru wote nime pokea maombi yenu na nisha yafanyia kazi.
Acha kupotosha hakuna cha transport allowance wewe sisi tuna information za alipo ya watu wenu kuliko wewe na kingine sokoni watumishi wa serekali hawawataki tena so nyinyi kutoa mkopo ni kazi sana
 
Hamna kitu hapa ..wizi tu..ndani ya mwezi mnatangaza ajira zaidi ya mara tano...

Kama kuna kijana anataka kufa masikini akafanye kazi kwenye hii kampuni..

Na zaidi watu sasa hivi wanaenda bank kukopa. ..hizi micro fool zitafungiwa soon ...mark my words
Watanzania wengi mnapenda kazi za mshahara ili mtegee kazini hii kazi lazima ufanye kazi ndo uiingize kipato ukilala na mifuko ina baki empty.Tupende kufanya kazi na wakaribisha wale wote wanaopenda na moyo wa kufanya kazi.
 
Hapa umeongea kila kitu
Nina ndugu yangu amewai fanya kazi kampuni inaitwa fanikiwa ananambia mtu akikopa mkopo wa 5million analipa mpka 19 million.
[emoji3][emoji3][emoji3] sasa huu si niwizi yani mara 3 ya alichokopa.

Skuizi watu niwaelewa sana ata kama ajira hakuna.
Kwa uelewa wangu ukiona kampuni inahitaji watu wengi namna iyo ni kiashiria cha mambo yafuatayo

1.turnover rate ni kubwa katika kampuni ndio maana wanahajiri kwa idadi kubwa

2. Kazi haina maslahi ndo maana wanahitaji watu wengi tena wenye elimu ya kawaida unaweza shangaa mda mwingine wakahitaji mpaka darasa la 7

3. Kuna ugumu katika soko la bidhaa husika hivyo wanahitaji watu wengi kuforce soko na bila shaka kampuni mauzo yamepungua sana hivyo kuhitaji watu wengi watakao okoa jahazi

4.kuhitaji watu wengi ni kwamba kampuni inahitaji kufikia malengo yake kwa muda mfupi ( yaani target) hivyo apo watu mtapiga kazi mpaka mchakae[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom