kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,722
- 6,510
Mnalipaje kwa mwezi au wiki
na kwa dar es salaam mpo shoopez plaza sasa ukisema shoopez plaza maana nini sasa toa direction inayoeleweka
Inabidi utoa maelezo vizuri maana wewe kampuni himekuamini ili utafute vijana sasa mbona unakuwa kama mlevi au umefundishwa kila mtu anaeishi dar hanapajua shoopez plaza
"Haters hayo tu sina haja ya kazi"
na kwa dar es salaam mpo shoopez plaza sasa ukisema shoopez plaza maana nini sasa toa direction inayoeleweka
Inabidi utoa maelezo vizuri maana wewe kampuni himekuamini ili utafute vijana sasa mbona unakuwa kama mlevi au umefundishwa kila mtu anaeishi dar hanapajua shoopez plaza
"Haters hayo tu sina haja ya kazi"