Recent content by albert bulimbo

  1. A

    Nauza kiwanja kipo Chanika,bei ni ya kwaida.

    Nipigie unayeuza 0655203345
  2. A

    Natafuta kiwanja cha kununua

    Vipi naomba namba tuwasiliane nije nikione hapo kivule
  3. A

    Wanafunzi wote waliosoma Sengerema Sekondari

    Namna ya kumpata amebanwa na majukumu
  4. A

    Wanafunzi wote waliosoma Sengerema Sekondari

    Napenda kujitokeza kama mwanafunzi niliyesoma Sengerema Sekondari(O&A)level. Naitwa Changanya Bulimbo, nilisoma hapo 1985-1988 O' level. Baadhi tumeanzisha umoja ambao makao makuu yapo Dar es Salaam. Tunataka kufanya harambee mwaka huu kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya maji taka na maji...
  5. A

    Nitapata Wapi Hotuba za Hayati Edward Moringe Sokoine

    Nenda TBC barabara ya nyerere utakuta na za wengine ambao hukutarajia
  6. A

    Waliofundishwa na Magufuli katika Sekondari ya Sengerema mje tuwachukue maelezo hapa

    Tunashindwa kujibu maswali kuhusu jpm akiwa mwalimu sesesco tuliofundishwa na yeye tuna mengi ya kusifia lakini kwa mtizamo wa JF mtu hawezi toa maelezo ya kuwatosheleza kila mwana JF akaridhika maana wengi humu wameathirika kwa utendaji wake aidha wengi wetu humu JF walikuwa wapiga dili...
Back
Top Bottom