Napenda kujitokeza kama mwanafunzi niliyesoma Sengerema Sekondari(O&A)level. Naitwa Changanya Bulimbo, nilisoma hapo 1985-1988 O' level.
Baadhi tumeanzisha umoja ambao makao makuu yapo Dar es Salaam. Tunataka kufanya harambee mwaka huu kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya maji taka na maji...
Tunashindwa kujibu maswali kuhusu jpm akiwa mwalimu sesesco tuliofundishwa na yeye tuna mengi ya kusifia lakini kwa mtizamo wa JF mtu hawezi toa maelezo ya kuwatosheleza kila mwana JF akaridhika maana wengi humu wameathirika kwa utendaji wake aidha wengi wetu humu JF walikuwa wapiga dili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.