Recent content by Albendazole

  1. A

    Urusi na Ukraine: Kwanini uongo unaonekana kuwa na nguvu kuliko uhalisia?

    Na wewe ungetoa taswira Yako unayoiona kuhusu vita!! Pengine wengine ungetupa kitu Cha kujifunza
  2. A

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Ambae amewahi iona hii au itumia hii naomba anipe ushuhuda,ikoje kwa bongo inapatikana wapi?? Kwa sh ngapi? Nk pliz
  3. A

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Hii unayoizungumzia ninipi ?? Sorry
  4. A

    Embroidery (Darizi) na Kuprint

    mfano nikija na T-SHIRT Moja KAMA hii,nahitaji dizen kama hii kwa matumizi binafsi,gharama zinaweza kuwa vp??
  5. A

    Mwisho wa ndege za kivita, funzo la vita vya Ukraine na Urusi

    Kwa upande wangu!! Vita bado ni mbichi kote kote, mrusi amepoteza vikose na zana nyingi na bado anaendelea kupoteza wakati Ukraine nae anapoteza mara mbili zaidi wanajeshi,raia,vifaa,miundombinu na majengo muhimu kila kukicha! Hadi Sasa ni ngumu sana kutoa utabiri wa vita jinsi itakavyoisha! Na...
  6. A

    Marekani yaagiza Raia wake kuondoka nchini Urusi haraka

    Umenena, Marekani wajanja sana! Haingii akilini muandishi wa habari wa marekani uwepo eneo ktk uwanja wa vita ety uko kazini 😂😂😂😂
  7. A

    Uzi huu nitakuwa naelezea movie zote nitakazotazama mwaka huu 2023 hili kuwapa watu motisha

    Habari,naombeni mwenye link ya Uzi wowote kuhusu Muvie kali ambazo mtu amewahi kuangalia bila kuchoka, Natafuta Muvie za kucheki Nitapendeza zaidi zile za kiafrika km the queen of katwe,the women king Au za kivita km jumong,za kii intelegensia Anitag au aniunganishe huko
  8. A

    Pindi Chana hafai kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Yale yale.....Mtu Fulani hafai, Kwanini hafai... Kuna ck kuna mtu aliwahi kuandika kuwa hafai, Ck nyingine mkisema Fulani hafai,toa fact Taja na watu wako unaohic wanafaa, Ili wapewe nafasi (kwa fact)
  9. A

    Pindi Chana hafai kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Mleta Uzi,nenda kajipange tena!! Umesema mtu hafai lakini fact hujatoa how?? Anavyoonekana tttu na unavyomuona unahic hafai?? Elimu yake labda!! Kwa kuwa ni mwanamke? Vitu ambavyo ungetamani avifanye km waziri bado hajavifanya ?? Labda hafai kwa kuwa Uliwahi kuishi nae tabia zake unazijuwa Toka...
  10. A

    Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake. Nakupa saa 72

    Habari,naombeni kufaham mfanyabiashara km huyu kukaa na dola nyingi Nyumbani au ofisini kwake badala ya bank! Anayumbishaje uchumi wa inchi???na anatakatisha vp??
  11. A

    Kwanini tukienda hospitali zile fomu za NHIF hawafungi hesabu pale chini?

    Yanayofanyikaga kwenye hizo form vituo vyenyewe vinafaham, NHIF wao wenyewe wanafahamu cause wanakutana na case nyingi sana, hata wizara nayo inafahamu.... Nahisi wanasubiri video Moja ivuje, Wananchi walalamike sana mitandaoni. Then ndo waje kusema tunaunda kamati ya uchunguzi, kisha wachukue...
  12. A

    Ijue siri na sababu za malalamiko ya Teuzi kwa hoja za Udini katika Awamu hii ya Sita

    Nimegundua kuwa Watu wengi wana udini bila kujijua,na wanajitahidi sana kutafuta hoja wakizipamba zionekane za msingi!! Kumbe wapi .. Me ni mkristo,lakini naomba mama aongeze list la waislam!! Kwenye uongozi Makundi ndani ya chama tawala,wasiompenda mama na vyama venginenyo wanajitahidi...
  13. A

    Mfumo wetu ndio unaotunyonga!! Na Wahusika wa mfumo wanatushuhudia tunavyokufa

    Ulishawahi kumuona kipofu barabarani akikosea njia,na pembeni kuna mtu mzima wa kumsaidia,lakini Cha ajabu badala ya kutoa msaada anasepa akijisemea Moyoni yupo mwingine atakayekuja kumsaidia!! .....najua kila ck watu wanalalamika,na wahusika wanaona malalamiko kila ck!! Ila wanasubiri Hadi...
Back
Top Bottom