Hilo kama ni gari lishakuacha stendi ukishangaa mbaya zaidi uchumba wenu ni bubu haujulikani angalau na wazazi kiasi kwamba hata gharama zako ungeweza kuzidai mlikutana mkapendana wenyewe mkaanzisha mahusiano pole sn huyo ni kunguru cha msingi wewe achana nae fanya mpango mwingine hata huo...
Kuna kitu kimoja umesahau hapo kwenye no 8 ndio atakupa ila ndo yale ya "kula maliza funika nenda" unamkuta mwanamke hatikisiki kalala tu kama gogo jamani hilo nalo c tatizo???. Lingine hv kuna ubaya gani ukimwambia mwanamke nataka upendeze kama fulani unamtolea mfano mwanamke anayemjua maybe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.