Recent content by Al-Watan

  1. Al-Watan

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Hujajibu hoja ya kusema Mungu hayupokwa "problem of evil", kama hata umeielewa.
  2. Al-Watan

    Utaniowa tu, ngoja nirudi kwa babu.

    Yani hapo mtu anajitengenezea mazingira akishikwa lawama zote kwa Lord. "Honey, but I prayed to the Lord and he did not listen.."
  3. Al-Watan

    Utaniowa tu, ngoja nirudi kwa babu.

    Plenty more nice gal out there fi slam, one million, two million Dolly house an' stuckie a nah part a we plan We haffi sample every nation,me sing -Plenty More Gal "Buccaneer"
  4. Al-Watan

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Biblia ni kama methali za Kiswahili, nafikiri na sisi tungeendeleza methali zetu, hadithi zetu na historia zetu, tungeweza kuwa na kitu kama Bibliayetu. Kwa nininasema Biblia ni kama methali za Kiswahili? Biblia ina mambo mengi sana, ila haina majibu, majibu unayo mwenyewe na utachagua Biblia...
  5. Al-Watan

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    1. Una assumption kwamba kuna Mungu - Mungu huyu unayemsema habari zake zina contradictions nyingi sana kiasikwamba kuamini yupoinabidi ujitoe akili, chiefly being the problemof evil 2. Una assumption kwamba Biblia ina majibu - Biblia ina contradictions nyingi sana kiasikwamba kuiamini inabidi...
  6. Al-Watan

    Uhamiaji sasa kuwanyanyasa watanzania wanaosafiri kwenda nje

    For real for real? JF ni bonge la mtandao. Kwa hiyo mmehamia kabisa huko? Beach nimezisikiana kuziona kwa mbali, ndiyo maana nikataka kuja. Itakuwa kitu ambacho sikutegemea kabisa kukuta watanzania wamejikita huko. Asante sana kunijulisha.
  7. Al-Watan

    Watu wanasema mimi ni nani? Swali alilouliza Yesu linalofungua ubongo wa mwanadamu kujitambua

    Da'Vinci Swali lako zuri, lakini una assumptions nyingi potofu ambazo zinakupeleka pasipo. 1. Una assumption kwamba kuna Mungu 2. Una assumption kwamba Biblia ina majibu 3. Una assumption kwamba purpose nikitu cha lazima Assumptions zote hizi ni potofu. Na kwa sababu umeanza na assumptions...
  8. Al-Watan

    ROSTAM VS TAMADUNI MUSIC

    Mpambano kati ya hip hop na bongofleva, kila mtu kashinda upande wake.
  9. Al-Watan

    Uhamiaji sasa kuwanyanyasa watanzania wanaosafiri kwenda nje

    Ingewezekana kwenye box la kupiga kura kungekuwa na sehemu watu wanaambiwa "chagua nchi ya kwenda kuishi hapa, kama hujaridhika na maisha ya Tanzania" halafu watu wachague, Tanzania ingebaki na viongozi na familia zao tu. Labda na wale Wahadzabe wachache ambao hawataki maisha ya mjini, pamoja...
  10. Al-Watan

    Nape: Kuhama vyama kunawaumiza wananchi, inabidi tubadili sheria

    Mtu anakwambia anahama CHADEMA kwa sababu chama hakina demokrasia, halafu anahamia CCMambayo mwenyekiti wake kakataza mikutano ya kisiasa kwa kuvunja demokrasia na katiba ya nchi. Hapo hata mimi inakuwa vigumu kuamini kwamba huyu anahama chama sababu ya demokrasia.
  11. Al-Watan

    Dr Banna: Tamko la Marekani halina sifa kidiplomasia

    The asinine absurdity and awkward audacity of this advocacy for avaricious ascendancy is asymptomatic of an acute and abhorrent affliction of acumen ailing the amygdala as well as the abdomen.
  12. Al-Watan

    Uhamiaji sasa kuwanyanyasa watanzania wanaosafiri kwenda nje

    Kuna mbongo alijikuta Azerbaijan, kisa kalipenda jina tu. Kakwama anataka kutoka. Wabongo wana visa sana.
  13. Al-Watan

    Great thinkers mawazo yenu yanahitajika hapa.

    Kuna maoni yanayochukua kukubalika kwa sana sasa katika nyanja za saikolojia kwamba, ni vizuri watu kuachia hisia zao. Kwa mfano, habari za kwamba wanaume ni shupavu na hawatakiwi kulia, angalau hadharani, zinapingwa, na wanasaikolojia wanasemakwamba mtu akijisikia kulia, halafu akajizuia...
  14. Al-Watan

    Uhamiaji sasa kuwanyanyasa watanzania wanaosafiri kwenda nje

    Kwa mwendowasasa sehemu fulani za Syria na Lebanon zinaweza kuwa poa kuliko bongo.
  15. Al-Watan

    Uhamiaji sasa kuwanyanyasa watanzania wanaosafiri kwenda nje

    Unaweza kuandika kama utani, wakati kuna msako tayari Watanzania gani wamewasiliana na Senator Menendez wa US (Democrat, New Jersey)mpaka Senator Menendez amemshinikiza Trump ateue balozi wa Marekani Tanzania ili balozi huyo asimamie demokrasia Tanzania. US senator demands Trump action on...
Back
Top Bottom