Recent content by Al-Mende

  1. A

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sio tapeli, I can confirm aliniunganisha na nimekuwa nikitumia huu mwezi wa nne sasa.
  2. A

    MSAADA: Kioo cha Lumia 720 kimepasuka. Ni wapi kwa hapa Dar naweza kurekebisha hili tatizo?

    Mkuu, naomba unielekeze ni wapi hapo posta anapopatikana huyo fundi Sele
  3. A

    MSAADA: Kioo cha Lumia 720 kimepasuka. Ni wapi kwa hapa Dar naweza kurekebisha hili tatizo?

    hapo pia hata mimi nimeshangaa, na hawa wahindi wamezidi ulanguzi.. sijui kama kuna duka hapa bongo linalouza hizi corning gorilla glass lakini kama lipo nitatafuta kioo mwenyewe na kukipeleka kwa fundi hata kama itachukua muda mrefu atleast nitakua nimesave a lot of cost...
  4. A

    MSAADA: Kioo cha Lumia 720 kimepasuka. Ni wapi kwa hapa Dar naweza kurekebisha hili tatizo?

    simu imenunuliwa 3 weeks ago, lkn kuhusu warraty na uwepo wa ADH kwenye warranty sina uhakika.. nimewasiliana na midcom nokia care wameniambia itanigharimu 230k bado natafuta alternative nyingine ya haraka zaidi kuliko ebay.. kwani huyo fundi Sele anapatikana wapi hapo posta?
  5. A

    MSAADA: Kioo cha Lumia 720 kimepasuka. Ni wapi kwa hapa Dar naweza kurekebisha hili tatizo?

    Nimepatwa na msiba wa kaLumia kangu, kioo kimepasuka natafuta sehemu ninapoweza kuipeleka ikarekebishwe na pia ningependa kupata na makadirio ya gharama zake, nipo Dar Es Salaam.
  6. A

    Naombeni msaada kwa wanafahamu tatizo hili la battry kwenye laptop Dell e620 (PLUGGED IN, NOT CHARGI

    nadhani hapo tatizo litakua ni output ya charger yako, mimi pia iliwahi kunitokea hivo kwenye toshiba satelite e225 nikabadilisha charger to and everythng is alright.
  7. A

    Tatizo la computer kutengeneza shotcut, naomba msaada

    Jamani kila nikichomeka drive yoyote ile kwenye computer yangu iwe ni flash, memo. card, hdd na hata modem nakuta folders zote zilizo kwenye drive husika zimebadilika na kuwa shortcuts. Tatizo hili linatokea pia nikichomeka hardware kama mouse na printer nnakuta hazifunction vizuri kwa maana...
  8. A

    UJUZI: Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu PayPal...

    nashukuru mkuu Chief, ngoja nikapitie hio tutorial yako ili nipate info zaidi...
  9. A

    UJUZI: Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu PayPal...

    ahsante mkuu kwa maelezo yako mazuri, nigependa kujua zaidi, 1.je ili kujiregister paypal ninatkiwa kuwa na kiasi gani cha fedha kama minimum requirement kwenye account yangu? 2.kwa sababu payments nyingi nlizoona za paypal zinatumia currency ya USD ($) na huku kwenye bank account yangu...
  10. A

    UJUZI: Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu PayPal...

    mkuu njunwa, hayo makato 23000 ni kwa muda gani? je makato hayo ni fixed au yanategemea na idadi na values za transactions ulizofanya?
  11. A

    UJUZI: Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu PayPal...

    mkuu Chief, hapo kwenye red je na ww pia unatumia paypal kupitia hio scholar account?
  12. A

    UJUZI: Nahitaji kufahamu zaidi kuhusu PayPal...

    :help: Habari zenu wadau, katika matumizi yagnu ya internet nimekuwa nikiingia kwenye websites mbalimbali za uuzaji wa bidhaa na kutoa huduma (mfano: amazon, ebay, ebooks e.t.c) ambazo zinahitaji malipo ya bidhaa hizo yafanywe kupitia PayPal account. Naomba msaada wa kujuzwa zaidi kuhusu hii...
  13. A

    Watakao maliza form six kupitia JKT 02 March 2013

    we utukome eeh..! tena utukome kabisa!! sisi hatutaki kuisikia hio JKT kabisa
  14. A

    Vijimambo vinavyotokea kwenye Daladala

    WAKATI MWINGINE DALADALA INARAHA ZAKE,KWA WALE WENYE MAGARI NA AMBAO HAMPANDI DALADALA...HIVI NDO VIOJA TUNAVYOPATA WENZENU BARABARANI! Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.." Konda: "Vipi wewe, Yesu ... bado hajatoa album..." ******************************** Abiria...
  15. A

    New ACSEE Syllabus

    syllabus inatusumbua zaidi sisi form 5 kwa sababu walimu inaonekana kuwashinda na ukiomba msaada kwa form 6 wanakufundisha vitu ambavyo havipo kwenye syllabus...
Back
Top Bottom