Recent content by AL-BABU

  1. AL-BABU

    Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

    Ni vyema watu wakafahamu kwamba kwenye maritime law kuna uhuru wa meli/tanker kujisajili na kupepea bendera ya nchi yeyote.Liberia,Philippines na Panama ni katika nchi zinazoongoza kusajili meli nyingi sana na wanapata mamia ya mamilioni ya dola kutokana na ada za kila mwaka zinazolipwa na meli...
  2. AL-BABU

    Jamani nna swali nijibuni..

    kweli inategemeana na m2 na hisia ulizonazo kwake maana kunawengne hata ukisikia sauti yake ama akikucall 2 bax jamaa anacmama so m nasema n hali 2 ya m2 kwa mwenza wake
  3. AL-BABU

    Jamani nna swali nijibuni..

    hlo kweli janja maana hisia za m2 yeyote hazchezewi na ogopa sana kucheza na hisia
  4. AL-BABU

    Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona...

    Yap kweli wangu maana mashe wa ckuhz wakpata elimu kidogo 2 bax wanajiona cjui 2nalingana ama?
  5. AL-BABU

    Tupia hapa: Jina la utani la mwalimu wako ulipokuwa xuli

    chogo ndindo,biking,mashavu,voice wander,bibi,draken master
  6. AL-BABU

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    soko mjinga=Arusha,ngarenanyuki,kilimanyege,kibololoni, kwa bi nyauu,mchambawima,
  7. AL-BABU

    Sio utamaduni wa wanaume wa Kitanzania/Africa

    :mwaaah:ni kweli lakn ndo hvyo yakupasa kubadlka kulngana na mazngra bwana weng 2nafanya hayo
  8. AL-BABU

    Sifa kuu tano za mwanamke ambazo mwanaume anatarajia kuziona...

    :glasses-nerdy:kweli lakn kwa jamii ye2 ya sasa na hawa wanawake kipengele #2 nathan kinakuwa kikwazo kwa walio wengi
Back
Top Bottom