dah mwana umenikumbusha mbali kinyama!....Lost Boyz walipotimba bongo walipewa kitu cha Malawi afu mixer kama hyo ila ya ma.vi ya ng'ombe!.....puff kunya,puff kujamba!!...zingine zote famfa tu!
jibu moja la akili sana hili mkuu Chinga One....afu ukimuona Paula kilaki mwambie dah heshima zake mingi sana!!
Mi ushauri wangu kwa sasa huu uzi uwe sticky!
mbona ninyi wenyewe kwa wenyewe mnambwanda kusanuana nani ni nani?mnaishia kutaja majina ya wenzenu tu!...kama vipi nendeni chemba...,sio kesi!
cc: Sizinga queen of sheba Chinga One Madame B geniveros Kim nana
We pwapwasa acha kuchafua majina ya watu kidwanzi!hiyo 25000 hukuombwa na ndio mana umeshindwa sema sababu ulizokuwa unapewa hadi ukafikiria unazungushwa sana na kwamba wote ni walewale wanaotaka rushwa.
Pili,mikopo ya biashara na ya watumishi inashughulikiwa na maafisa mikopo tofauti,onesha...
Nimejisikia fresh sana kwa huu uzi,mana nakumbuka miaka ileeeeee tulikuwa hatutukaniwi mama zetu kama sasa.,tulikuwa tunaambiwa "ndio mana Mmakonde!"..,baaaas!lilikuwa tusi tosha kukufanya ujisikie vibaya sana!!
Mtwara kucheelee!!.....kila munu ave na kwao,bhaaaaaa!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.