- Thread starter
- #481
Nami ngoja niwakumbuke class mate wangu, pale Rahaleo pr school tuliomaliza 1994 , muko wapi? nakumbuka mwaka huo hatukufanyiwa mahali kwa vile tulikuwa na fujo sana tukaambiwa mkifanya mtihani tu chapeni mwendo, du long time sana
Wapi Hailala Songoro!
Wapi Vumilia Yasini!
Wapi Hamza kalala !
Mussa kibonya yuko pale stand ya mabasi ,
Wapi somebody Mrema (toto tundu)
Wapi Haji Kalinga ? nakumbuka brother ulinishawishi kwenda kuiba mahindi shamba la shule tulivyofika tukakuta mtu mwingine anavuna nasi tukaanza kuvuna lkn jamaa alichenjia na kutoa mbio nilikimbia kutoka pale shambani kuzungu maduka makubwa, vigaeni,stand, hadi chikongola
Wapi Nurudi phazil!
Wapi Hailala Songoro!
Wapi Vumilia Yasini!
Wapi Hamza kalala !
Mussa kibonya yuko pale stand ya mabasi ,
Wapi somebody Mrema (toto tundu)
Wapi Haji Kalinga ? nakumbuka brother ulinishawishi kwenda kuiba mahindi shamba la shule tulivyofika tukakuta mtu mwingine anavuna nasi tukaanza kuvuna lkn jamaa alichenjia na kutoa mbio nilikimbia kutoka pale shambani kuzungu maduka makubwa, vigaeni,stand, hadi chikongola
Wapi Nurudi phazil!