Usafiri wa Dar - Mtwara umenikosha roho

Nami ngoja niwakumbuke class mate wangu, pale Rahaleo pr school tuliomaliza 1994 , muko wapi? nakumbuka mwaka huo hatukufanyiwa mahali kwa vile tulikuwa na fujo sana tukaambiwa mkifanya mtihani tu chapeni mwendo, du long time sana
Wapi Hailala Songoro!
Wapi Vumilia Yasini!
Wapi Hamza kalala !
Mussa kibonya yuko pale stand ya mabasi ,
Wapi somebody Mrema (toto tundu)
Wapi Haji Kalinga ? nakumbuka brother ulinishawishi kwenda kuiba mahindi shamba la shule tulivyofika tukakuta mtu mwingine anavuna nasi tukaanza kuvuna lkn jamaa alichenjia na kutoa mbio nilikimbia kutoka pale shambani kuzungu maduka makubwa, vigaeni,stand, hadi chikongola
Wapi Nurudi phazil!
 
babu fimbo giant flani pande la mtu kaenda hewani,palebkwa kina maiko milanzi siku hizi pame chakaa kinoma pemben yake kuna mzee sudi daah hatari sana.

Unakumbuka yale magari chakavu pale kwa mzee mnala sijui baba mnala jirani na kwa Nnauye yale magari ya kizamani yapo kama kobe.
 
Nami ngoja niwakumbuke class mate wangu, pale Rahaleo pr school tuliomaliza 1994 , muko wapi? nakumbuka mwaka huo hatukufanyiwa mahali kwa vile tulikuwa na fujo sana tukaambiwa mkifanya mtihani tu chapeni mwendo, du long time sana
Wapi Hailala Songoro!
Wapi Vumilia Yasini!
Wapi Hamza kalinga !
Mussa kibonya yuko pale stand ya mabasi ,
Wapi somebody Mrema (toto tundu)
Wapi Haji mponda ? nakumbuka brother ulinishawishi kwenda kuiba mahindi shamba la shule tulivyofika tukakuta mtu mwingine anavuna nasi tukaanza kuvuna lkn jamaa alituchenjia na kututoa mbio nilikimbia kutoka pale shambani kuzunguka maduka makubwa, vigaeni,stand, hadi chikongola
Wapi Nurudi phazil!
Wapi Sauda Juma!
Wapi wale wote jamani tukumbukane mimi nilikua natumia jina la Issa Juma niko Arusha naendesha tax
 
ha ha ha unajua kuna siku ulisema magamba ni kwenu,nikavuta picha ulivyosema ulikua una kaa maeneo ya kotaz pale za tra then ulikua unasoma sabasaba ukahama,hapa nikawa namkumbuka dada mmoja bonge kias mweusi kias alikua anaitwa D......sema yeye hakua mjanja sana halafu alihamia ligula aka faulu sabasaba.

Ewaaaaa....sasa huyo D alikuwa anapenda kufatana na dada mmoja hivi nae mnene hivi alikuwa anapiga sana misele relwe...alikuwa anaitwa Beatha, ndio mimi.....
 
Ewaaaaa....sasa huyo D alikuwa anapenda kufatana na dada mmoja hivi nae mnene hivi alikuwa anapiga sana misele relwe...alikuwa anaitwa Beatha, ndio mimi.....

hahahaaaaa
madamerrrrrr tisha mbaya yaani hadi raha kwa kweli
 
Mtwara raha.

Inasemekana Wana mtwara walizikataa. Kilichotokea ni kwamba Wifi zilikuwa zinaenda Mtwara na Masasi wakati huo njia iko mbovu. Baadae njia ilivyoimarika pale Rufiji na mabasi mazuri kuanza kununuliwa, Wifi akanunua mabas mazuri na kupeleka Masasi na Mtwara akabakiza mabovu.

Wamalaba wale wakajiapiza kuwa hiyo mikweche yako hatutapanda kamwe, na ikawa hivyo. Inasemekana hiyo ndiyo sababu kubwa Wifi kuacha kwenda Mtwara, lakini bado zingali na route ya Masasi!
 
Huo ni ukweli aisee na walikuwa wanaongozaga kwa scandal mji mzima unamjua fulani kafanya nn na hv mji ulikuwaga mdogoo.

Me nilikuwa Indian Quarters palepale kwenye zile kota za Vigae. Kipindi cha embe tunakoma watoto wenyewe kwa wenyewe tunarusha mawe mpaka tunavunja vigae. Nilikuwa Maeneo ya kwa Mtingita au kwa Msaki kama unawakumbuka maana walikuwaga maarufu enzi hizo ule upande wetu.


we ulikua jiran yangu ww mitaa hiyo
 
Huu uzi burdaani kabisa inanikumbusha zilipendwa mitaa kama maghalani, kisutu, mdenga, likonde,mtepwezi,vigaeni(full kibuku) rahaleo,majengo kwa uchache ni hiyo. Dah kunazi shangani na jengo la nasaco nyuma bandari pembeni pax filling station.
 
…………Shangwe kafa lini huyo mzee?, alikuwa anapenda kuvaa msuli, au nimemfananisha....kama ndo huyo kawaambie ndugu zake wana mtoto Dar....alizaa na rafiki yangu wakati tunasoma Mangamba

nikupe namba ya dadake umwambie
 
Back
Top Bottom