Recent content by Akilibora

  1. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    Mnaleta propaganda? Mnataka walolala (wananchi) usingizi wa pono waendelee kulala? Mwenyezi Mungu huwa kuna namna anaamua kuingilia kati.
  2. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    Afadhali watusaidie wananchi kusema kabla ya kufika mahala pa kuchoka na kuanza kuingia barabarani na mabango. Kinga ni bora kuliko tiba. Hao ni wawakilishi wa wananchi. Baada ya bungee kuwa mkusanyiko wa machawa na raba stempu?’!
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

    Sasa kuachana hivi hivi ikiwa Mwanaume amekugaramia vitu vingi vya thamani hawezi kukubali umcheke ujinga, Somo hapa ni wanawake waache tamaa na kujiona wajanja kupenda kuhongwa na kutaka mali za wanaume Halafu hamtaki kuwa watumwa wa hao wanaume. Hutaki kutawaliwa na Mwanaume usile Hela żake...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

    Wanaume wengi uwapige Mizinga Halafu utake kuwazingua hawakubali. Wanaume wengine Hela zao wanazipata kwa tabu sana Halafu mwanamke unakuwa na tamaa ya pesa Halafu hutaki kufanya snavyotaka Mwanaume?! Lazima akunyooshe [emoji14][emoji14]
  5. A

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katoliki na KKKT yawakataa Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia Uchaguzi, sasa inasubiriwa BAKWATA

    Sema wananchi maana hao ni wawakilishi wetu.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

    Wakiendelea kushupaza shingo?! Inashangaza mno!
  7. A

    JamiiForums Tanzania Aliyemuelewa Mkurugenzi wa TPA, Plasduce Mbossa atusaidie kufafanua hili

    Kamezeshwa? ! [emoji38][emoji38][emoji38]
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

    Ukitanguliza upendo inakuwa na wepesi wala huoni kuelemewa wala kung’ang’ana ktk kuishi nae. Imeandikwa: “ Upendo husitiri wingi wa makosa” Ukimpenda mtu kwa penzi la kiMungu hutaona Mabaya wala madhaifu yake bali utakuwa unaona mazuri yake tu na kuchukuliana nae kirahisi.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Safari ya Morogoro kwenda Tanga unatumia saa ngapi kwa Basi?

    Kisha uende Morogoro then Tanga?
  10. A

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo sababu kuu 3 kwanini mfuko wa NHIF unapitia changamoto nyingi katika kuhudumia wananchi

    Kumbe ni kama zinavyochotwa za mifuko ya Hifadhi ya Pension ya Wafanyakazi? Halafu kikokotoo mashaka matupu?
  11. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Director Nisher afariki dunia

    With lapse of time ukweli utajidhihirisha wazi wazi wenyewe bila utetezi.
  12. A

    JamiiForums Tanzania TANZIA Director Nisher afariki dunia

    Kwani amefanyaje yeye? Kuna vifo vya kujizuru lakini kwa njia ya kujichinja ni ngumu kuamini kuwa mtu ajichinje mwenyewe hadi kukata roho? Labda watuambie wenye kujua zaidi. Sababu kujichinja sio kwa kutokea mara moja paaa kama kujipiga risasi au kamba, au kujirusha toka juu ya ghorofa n.k...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wadada, hivi mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?

    Ndio! Na ndio maana halisi ya unconditional love
  14. A

    JamiiForums Tanzania Waganga wa kienyeji walivyovunja undugu kwenye ukoo wetu

    Kwa hiyo huamini kwamba Biblia ni Maandiko Matakatifu ya Mwenyezi Mungu? Kumbe tunajadiliana na Pagan? Sasa kama ni hivyo haina haja ya kuendelea na majadiliano iwapo kumbe kwenye msingi wa imani hupo. Kama huamini hivyo vitabu vitakatifu kuwa ni maneno ya Mungu Basi hiyo divinity yako...
Back
Top Bottom