Recent content by Akili_nyingi

  1. Akili_nyingi

    Rais Samia Suluhu amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Mhandisi Deusdedit Kakoko

    Hivi mtu imethibitika kaiba tena baada ya uchunguzi wa muda... Adhabu ni kusimamishwa kazi au kuwekwa ndani? Hizi Bil 3.6 serikali inarecover vipi na mwizi yuko hapo, je kusimamishwa kazi inatosha?
  2. Akili_nyingi

    Hivi kweli kuna wataalamu wa IT Tanzania?

    Umesema vizuri sana MK254 Watu wapo wenye skills vzuri tu ila Industry haiwapi wazawa thamani wanayostahili. Unakuta upo kwenye kampuni nafasi inatokea unanyimwa anakuja ngozi nyeupe anapewa hyo nafasi na Bado wewe ndio unatakiwa kumtrain kazi halafu huyo ndo anakua boss wako. Hili jambo lina...
  3. Akili_nyingi

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kwema humu?
  4. Akili_nyingi

    [Reverse Engeenering Module 1] Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts

    Naomba kuuliza, Ili mtu kuweza kuwa vzuri kwenye hii inatakiwa awe na Skills gani kabla (prerequisite)?
  5. Akili_nyingi

    [Reverse Engeenering Module 1] Advance Dll Hijacking For Blackhats And Cybersecurity Experts

    Kazi nzuri Mkuu, nmechelewa kuingia kwenye hii field Ila Ninatamani kufika mbali sana. [emoji846] Let’s connect & Learn [emoji1417]
  6. Akili_nyingi

    Hivi kweli kuna wataalamu wa IT Tanzania?

    Field ya IT ni pana sana, ndani yake kuna Matawi mengi ya taaluma; - Network - Database - Programming - Web Developer (Front End & Back End Developer) - Cyber Security So napata shida kulijibu swali lako kwa jinsi ulivyojumuisha vyote kwa pamoja, labda ungefafanua ni nyanja ipi hasa ya IT..
Back
Top Bottom