Recent content by Akidu

  1. Akidu

    JamiiForums Tanzania Tuelewane ni Mkataba au Makubaliono sakata la bandari

    Hawa walikuwa wanawawakilisha Watanzania walio wengi walioshindwa kuuelewa ama kupata sehemu sahihi ya tafsiri ya aidha ni mkataba ama sio mkataba! Na mahakama ilitoa tafsiri hiyo kuwa ni Mkataba na sio Maridhiano. Kwa maana hiyo nilitarajia kuona hawa Mawakili na wenzao wakipongezwa kwa...
  2. Akidu

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Asante sana lakini siko katika kutafuta possible no only kupata member wa kuwa tunapiga paper online
  3. Akidu

    JamiiForums Tanzania Kwamba CASK BAR haikulipia leseni kwa miaka miwili ni uongo. Ushahidi huu hapa

    Kibamba buana. Ooh CASK hawajalipia leseni yao kwa miaka miwili. Hii ni nini? Leseni imelipiwa 30 June 2022 na imemalizika muda wake 29 June 2023. Kwahiyo kutoka tarehe 30 June 2023 hadi leo ni miaka miwili? Hata miezi miwili haijaisha yeye anasema ni miaka miwili. Shame.! Halafu huyu eti ndio...
  4. Akidu

    JamiiForums Tanzania Msaada

    Hellow guys naomba usaidizi kwa aliye na group la kidato cha sita private candet arts combination's especially HGK OR HGL wanaotaraji kufanya mtihani mwakani please tuwasiliane tafadhari kama upo kwenye group lolote lile
  5. Akidu

    JamiiForums Tanzania Naiuliza Serikali, huu 'uhaini' hautawatisha wawekezaji wakiwemo DP World?

    Huna hoja fuatiria vyema yale mahojiano utaelewa
  6. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    [emoji846][emoji846]yeye anasemaje?,??
  7. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Nammudu vyema ni utayari wake tu muulize kama yupo tayari tumwage radhi
  8. Akidu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini unaachwa kila siku

    Unaweza ukawa n mwanamke flan ivi mwenye mvuto na mpambanaji lakin kila siku unaachika bila sababu za msingi. Umeshawahi kujiuliza sababu n nn,au ndio unajiona huna bahati. Mwanaume anaweza kukuacha kwa sababu hizi . 1. HUJIAMINI Unaweza ukajiona wakaiwaida alafu unakuja kutongozwa na mwanaume...
  9. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Nishirikishe
  10. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Tujifunze
  11. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Itakuwa vile itavyokaa akilini pako
  12. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Wangu ndio dictionary wa taifa utanambia nini kashauri bunge likae upya kufanya amendment ya .......
  13. Akidu

    JamiiForums Tanzania Mambo 6 ya kufanya pale mtu unayempenda anapokupuuza

    Kama utakuwa miongoni mwa watu ambao hujisikia upweke kupita kiasi katika mahusiano yao basi ujumbe huu unaweza kukusaidia. Leo tuangalie namna ya kukabiliana na mtu ambaye unampenda sana lakini anaonyesha kukupuuza sana kila wakati ukionyesha kumhitaji. Kabla ya kujua njia hizo tuangalie sifa...
  14. Akidu

    JamiiForums Tanzania Shida isikutoe kwenye mstari

    Sitaki ukorofi maana sielewi katu kuhusu siasa hoja hiyo unayo wewe
Back
Top Bottom