Safi sana naalie mtuma akahishi hizo sehemu atalishi kwake na Nazi yake nani kigwangala ayatumbue tu namengine yanatoa halufu kweli ndokama hiyo minafikili nalasimu maofisini nalo niangaliwe unaenda ofisini kupata huduma unakuta mtu anachati tu na simu unatoa shida yako mtu yuko bize na simu...
Walipokua wanaomba kazi walikua wanajua fika muda wakuingia kazini nisangapi sasa ngonjera za usafili no Shida za nini? kama hawawezi waache kazi then waje huku uraini waone kulivyo kukugumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.