Recent content by Akamai01

  1. A

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    HARUFU KALI YA TUMBAKU KWA WAKAZI NA WAPITA NJIA ENEO LA KIWANDA/OFISI ZA SIGARA Eneo hilo lina harufu kali sana na nina uhakika kuwa ina madhara kwa wananchi na zaidi wale wasiojihusisha kabisa na kiwanda hiko kama wapita njia. Je serikali ina lifahamu hilo na ina mpango gani? mimi huwa napita...
  2. A

    Makanisa zaidi Zanzibari yachomwa moto. Limo RC

    Salaaam Tuache kuzungumzia udini, hili kwa njia zote ni la kisiasa na hapo ni kwamba hawataki Muungano ujadiliwe tena. Kwa Wakristo wote ushauri wangu ni kupiga goti na kuendelea na sala, wakati huu ni mgumu sana na kwa akili zetu hatutaweza. Mungu yupo kwa ajili yetu
  3. A

    Sera za Majimbo ni za Lazima! Asiyetaka ahame Nchi!

    Kaka ahsante kwa elimu.
  4. A

    Shibuda kufukuzwa CHADEMA

    CDM kinasonga na Shibuda akiwa ndani ya Nyumba, ondoeni wasiwasi wajameni huyo mtu hana pakushika ndio maana ana tapatapa.
  5. A

    What has Halima Mdee done for Kawe (2010-2015)?

    Simtetei sana Mheshimiwa ila ningependa kufahamu wanakawe wanataka akachukue mawazo yao kuhusu bajeti,mawazo yapi hayo? wakati hata wao hawapeleki mawazo yoyote zaidi ya kupitisha na kutopitisha kilichowasilishwa na serikali. nakushauri kama una mawazo mtafute waziri husika.
  6. A

    Matokeo ya chaguzi za udiwani

    Vijibweni ndio Kigamboni
Back
Top Bottom