povu la nini hapo nimesibitisha nilichoandika ukiwa mshabiki na mwanachama wa magwanda lazima ujue matusi na lugha chafu kama viongozi wao wanavofanya asante kwa kunisibitishia hilo jifunze kujenga hoja hao unaowashabikia kuongoza tu chama chao systematically tu hawawezi sembuse nchi
Hapo ndipo wanaponishangaza hawa mashabiki wa magwanda kwa kushabikia upuuzi kweli Mnyika na maprof!hii hatari kwa akili hizi wataishia kupaona tu magogoni acha elimu iitwe elimu
Nadhani walimtolea nje kwa kuwa ana akili kama zako ambaye unaweza kwenda yard na elfu hamsini alaf unataka gari tena bora tanesco walimsahi na kumpa jibu zuri kidogo hana uzoefu nenda kwa chinga uliza shati alaf umwambie una sh mia ndio utajua alikua anastahili jibu gani
ex tanesco staff na nna jua bei ya transformer na gharama za mafuta yake tena 4 ur information hata hiyo figure kwa transformer kumi mpya ni ndogo kutakuwa na used au repaired hapo punguza ukilaza kwa vitu ambavo hujui
Hih mada inachangiwa na wamikoani au?jamani tanesco na magari yao yote inamaana huwa hamyaoni hapa kibongo bongo yakiwa yamebeba transformer acheni hizo hizo bei itakuwa inclusive na bei ya transformer yenyewe na mafuta yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.