Recent content by ajuayemmfee

  1. A

    Chia Seeds - Kilimo na Masoko

    Hongera ndugu,vipi biashara yake huyo rafiki yako anasema soko lipoje?
  2. A

    Ukomo wa Mifuko Mitano Tanzania Bara ni Machi, 2018; PSPF na NSSF pekee kubaki

    Hatari,so fao la kujitoa kabla ya hiyo Machi wameshalifuta?
  3. A

    Tatizo la PC kuzimika

    Mnisaidie wataalamu
  4. A

    Tatizo la PC kuzimika

    Mimi pia pc yangu haiwaki ila inawaka taa ya kuonyesha inachaji japo haipo kwenye chaji
  5. A

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Twasubir mwendlezo,kazi yako ni njema
  6. A

    Poultry Farming Map

    Asante,nimekuelewa kuhus swala la soft copy,sasa mimi nipo Iringa je inamana hii elfu ishrini nikikutumia itakuwa imekamilisha na gharama za kukisafrisha hadi kinifkie au hiyo ni ya kununua tu? Nisaidie hilo natamani kukipata juma hili.uwe na siku njema
  7. A

    Poultry Farming Map

    Mkuu Chasha umekuja na jambo zuri,je inawezekana kupata ramani hii kwa soft copy kwa njia ya email? Kama inawezekana gharama zipoje?
  8. A

    Fursa katika kilimo cha viazi lishe, tuchangamkieni upesi

    SAWA,ASANTE KWA MAJIBU KUHSU UTARATBU WA KUTAFTA MASOKO YA UHAKIKA KWA WATEJA WENU NGOJA TUWEKE MAMBO SAWA NA KUANZA KAZI
  9. A

    Fursa katika kilimo cha viazi lishe, tuchangamkieni upesi

    Hapana,ni jamii ya viazi vitamu
  10. A

    Fursa katika kilimo cha viazi lishe, tuchangamkieni upesi

    Ndugu je nyie mna utaratibu wa kununua hivi viazi kutoka kwa wakulima wanaonunua mbegu kutoka kwenu? Na iwapo mwanunua kuna mkataba wowote na wakulima hao? Maana naona biashra ni nzuri kwa hesabu hizi.
  11. A

    Ujumbe kwa ninyi mnaofunga drip irrigation system

    Ndugu ungetusaidia kujua hiyo njia mbadala,ingekuwa vema
Back
Top Bottom