Recent content by ajooo

  1. A

    Nape, usipolichukulia MwanaHALISI hatua utakuwa una chuki binafsi

    Nimekubali watu wanajua kufukunyua maisha ya mtu mpaka akapoteza mwelekeo mtu anaenda kusali makanisa matatu kwa siku moja kweli tutjitahidi jamani tuwe na vyeti
  2. A

    Queen Darleen: Naumia Kuishi Bila Mpenzi

    Kozi mm nakukubali ileile
  3. A

    Queen Darleen: Naumia Kuishi Bila Mpenzi

    Mimi nahitaji mke so kama inawezekana nitafute au niambie nikutafute
  4. A

    Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

    Huyo muulize ashawahi kuwa na Mke au mchumba hapo ndo mtaanzia story we mwambie tuuu akuowe
  5. A

    Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Jumapili inawezekana akaenda Kwa gwajima akamjengea kanisa
  6. A

    Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Duuu kwahio mpaka awepo mhubili ndo barabara inajengwa
  7. A

    Rais Magufuli ashiriki ibada katika kanisa la Antoni Lusekelo, atoa ahadi ya barabara

    Anamjengea barabara mwambieni aje na huku kwetu Barabara ni shida
  8. A

    Kama kuna wabunge jipu, basi sisi Ubungo tuna zaidi

    Bunge bado halijaanda kujadili bwana saizi wanawasilisha mipango ndo itajadiliwa sokuwa na subila
  9. A

    Je, Ni msanii gani wa Bongofleva aliyepotea katika muziki unatamani arudi katika muziki?

    Sister p, zay B,alikom, Mr Nice, oten, dogo Hamidu, dogo janja
  10. A

    Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

    Mpira Dk 90 kwahio ninauhakika timu uengerza zitatinga finally uefa
  11. A

    Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

    Wewe ulisema wakipita sasa Leo umebadilika tena basi Chelsea atschukuwa uefa
  12. A

    Haipingiki timu hizi tatu za EPL haziwezi pita UEFA 16 bora

    Chelsea na asernal zimepita sasa wewe ulie sema upigwe risas vip hapo
Back
Top Bottom