Kwa hili nitamuunga mkono Rais Magufuli.... Mhagama na Ummy uwezo wao mdogo.... January kabaki kuuza sura na kutongoza mademu tu....
Nami nimeshashuhudia pale Protea akiwa na wafanyabiashara Haroon na Gonzaga wakipanga mipango ya kumhujumu Rais... Ni jumamosi iliyopita baada ya kutoka kwenye...
* AITAKA SERIKALI KUCHUKUA HATUA MAHUSUSI KUSHUGHULIKIA HALI YA AFYA YA WANANCHI GEITA
Katika mchango wake jana bungeni Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Geita kwa tiketi ya CHADEMA Mh. Upendo Peneza katoa changamoto lukuki kwa serikali kwa kushindwa kutatua matatizo katika wizara ya afya...
Katika mjadala wa leo bungeni, mbunge wa CHADEMA viti maalum kutoka mkoa wa Geita, Upendo Peneza amlipua Rais Magufuli ya kwamba anapaswa kuonyesha mfano katika kulipa kodi kutoka kwenye mshahara wake ambao kwa sasa haukatwi kodi..
Hali hiyo ilizua taharuki ambapo waziri wa ofisi ya Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.