Upendo Peneza: Mikataba ya migodini ipitiwe upya

Upendo Peneza: Mikataba ya migodini ipitiwe upya

Mkataba mmoja tu wa Lugumu, JPM alikuwa anatuomba tunapokuwa majumbani mwetu tuwe tunamuombea

Sasa hiyo mikataba ya madini ndio atatuambia tuamie kabisa ikulu ili tumuombee vizuri.
mbavu zangu jaman
 
Zitto kaishasema hayo maneno toka huyu binti yupo Maisha Plus kuna jipya gani hapo lakusifiwa.
 
Zitto kaishasema hayo maneno toka huyu binti yupo Maisha Plus kuna jipya gani hapo lakusifiwa.

kwahiyo haitakiwi isemwe tena?make viongozi wetu wanatabia ya kusinzia, amesema ila sasa wa kuangalia mikataba hayo sasa.
 
Back
Top Bottom