Recent content by AJOKA

  1. A

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mtwara nije wilaya yeyote mbeya ama iringa 0655382959
  2. A

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ileje nije mbozi,momba,mbarali,kyela Idara ya secondari.no 0655382959
  3. A

    Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    Dr slaa
  4. A

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ya CHADEMA imefanya maamuzi ya kijuha!

    Kiongoz imara na mwenye upeo hawez hata kidogo kuzungumzia UDINI,UKABILA NA UKANDA kwa hili taifa leo anastahili kufunzw
  5. A

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ya CHADEMA imefanya maamuzi ya kijuha!

    Kiongo imara na mwenye upeo hawezi hata kidogo kuzungumzia UDINI,UKABILA NA UKANDA kwa hili taifa leo anastahili kufunzw
  6. A

    Kamanda Mbowe ndani ya Mbeya maandalizi ya uzinduzi Kanda ya Nyanda za Juu Kusini

    Kila la kheri kamanda mbowe ila huu uzinduzi uangalie hili suala kupita kila wilaya maana tunasikia kila siku mbeya lkn mbeya ina wilaya zaidi ya nane tunaomba sana hili suala liangaliwe upya
  7. A

    Ajira Mpya Za Walimu Ni Kama Kesi Ya Lulu.

    Hiyo ndio Tanzania kila kona ukweli ulio na ungo usishangae sana ndivyo tulivyo
  8. A

    Ajira Mpya Za Walimu Ni Kama Kesi Ya Lulu.

    Utekelezaji unafaa sana kuliko siasa itakuwa njema sana kama walimu watapata haki yao leo maana shule nyingi hazina waalimu hususani vijijini lkn tujiulize kwanini toka mwaka jana ni siasa tu?ELIMU inahitaji utekelezaji tukitaka mabadiliko
  9. A

    Jamani nadharaulika kisa nasomea ualimu

    Juhudi zako zitakufanya usidharauliwe ni wangapi wamepitia ualimu leo hii wanaeshimiwa?
  10. A

    ajira za walimu wapya 2013

    Mbona ahadi nyingi hazijatelezwa?kwann tulaumu post za walimu?maisha bora kwa kila mtanzania yako wap?
  11. A

    Picha: Mwingine familia ya Nyerere ajiunga CHADEMA

    Ni mwelekeo mkubwa wa mabadiliko 2015
  12. A

    Simba ikishinda kesho, makahaba kutoa huduma Bure

    Wabongo kila kitu kuiga walikuwa wapi kabla nigeria hawajaongea?
Back
Top Bottom