naomba kuuliza mwenye taarifa za ajira mpya kama zinatoka lini mimi na njaaa sanaaaaa
Itakuwa kesho hiyo NGOJA MIMI NIYASIKILIZIE HUKU,NIKIWA NA RAFIKI ZANGU
tangu ujue kuweka link umekua gumzo!
anyway bado unakua ...kumbe mbulula!
Ni kweli kabisa!We jiandae kupata stress, mshahara kiduchuuuuu! Kodi lukuki.
Sijajua leo wala jana,nataka niwape ajira KAHAMA MOVIES,wasikae wanapiga kelele tu.
amesema mulugo leo bungeni kuwa ni mwezi wa pili.