Ni muda mrefu umepita sasa, hakuna mrejesho wowote toka kwao, ilisemekana ni miezi mitatu majibu ila ni zaid ya miez mitatu sasa hakuna jipya tunaingiza namba kila siku kwny ile database ya olas lakini jibu ni moja tuuuuu. Wahusika jaribuni kulifanyia uharaka hili swala maana tuna uhitaji mkubwa...
Wakuu wa kaya
Habari za siku nyingi, hakika wote mnaendelea vizuri na majukumu yenu.
Baada ya pilikapilika za kipindi kile cha kufuatilia selection zetu pale udsm majina yetu yalikua pending mpaka tukabadilishiwa vyuo.
Sasa vyuoni tulikuja utaratibu wa mkopo ukawa mgumu baadhi walipata na...
Nilichaguliwa udsm nikatakiwa nisubiri uthibitisho, kwa bahati mbaya jina likawa rejected siku za mwisho kabisa baada ya kwenda ud zaid ya mara 3 kufuatilia, na vigezo vilivofanya niwe rejected bado havijaniingia akilini zaidi nilichoona ni urasimu wa hali ya juu. Sikuchoka nikarudi tena nacte...
ebana mshikaji alienda siku ya jumamosi pale udsm jengo la utawala chumba namba 105, akajaribu kujieleza kuhusu hii inshu jamaa wakamjibu kuwa mhusika wa izo mambo kwa siku hiyo hajaingingia kazini, kwaiyo akashauriwa arudi siku ya leo jumatatu, hivyo basi bado nategemea majibu kutoka kwa uyo...
jamaangu umeongea jambo la msingi sana asee, unajua kuna wengine wapo ukerewe huko na wanahitaji kuomba ruhusa na majina hayajatoka, basi hata kwa nyie mliopo dar mungu akiwaongoza mkienda udsm na mkapata jibu basi na wale wa mikoani itabidi waombe ruhusa hata kwa kutumia profile view ya nacte...
Mpambalachuma : hapo ndo tunatakiwa tupeane mawazo wazee maana huu msiba ni wetu mwana,
Sumaibra: Nacte wao washafanya yao mwana majina yapo udsm tayari kazi ni kwao kuyachuja au wanatubeba wote, sasa nadhani chuoni wana mambo mengi au wamesahau km wameruka batch moja???
ila leo tutajua mbivu na mbichi, nimemtuma mwana akacheki na utawala ili apate jibu la uhakika kama tunaenda tujiandae au kama mwaka huu hatuendi basi tuendelee na michongo mingine ya kutafuta maisha, maana kama mungu hajapanga basi huwezi force asee na ukilazimisha utashangaa unaenda ishi...
mimi jina langu katika batch zote halipo, ila profile inaeleza kuwa nimekuwa provisionally selected udsm , kizuri zaidi hakuna nilichokosea katika profile na hata katika mchakato mzima wa kufanya application, inshu inakuja kuwa tyt pale majina yakija kudadeki sijioni daaaaaah, yaani kitu...
wanangu noma sana asee, yaani inakatisha tamaa. maana profile ziko okey sasa tatizo liko wapi??? napia second batch ya udsm sijaiona kabisa au ndo yetu sisi?
Ndugu zangu tulioandikiwa kwenye profile zetu za nacte kuwa tusubiri confirmation toka kwenye vyuo ila tupo selected, nilikua nina ushauri labda unaweza kutuletea majibu mazuri, nina rafikiangu niliomba nae through nacte yeye ameandikiwa asubiri pia approve toka chuoni na jina lake pia bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.