Udhaifu wa Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu

msomso

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
464
152
Ndugu wanajamvi msinione nalia nataasisi hii wananitesa sana , Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa 1mikopo yao ilioenda vyuo vingine na tulivyochaguliwa hakika usiombe ukutwe wewe ,mwanao au nduguyo yoyote na jambo hili atateseka sana ndugu zangu tangia niiingie chuo sijawahi saini mkopo wangu ulienda udsm Mimi selected chuo kingine kiukweli nimeenda Bodi sichini ya safari 20 tokea nianze masomo hakika majibu ninayoyapata hayanirizishi kabisa majibu yao ni subiri. Ndugu wanajamvi swala hili Bodi ya mikopo ilitoa siku sitini tangozo lao la mwezi Nov 2015 ambapo mpaka sasa tunaelekea siku ya 104 lakini mkopo wangu haujaletwa chuoni ili niusaini uingie kwenye Account yangu.Ndugu zangu wiki lililopita walileta chuoni majina 10 kati ya 30 wanafunzi wenye tatizo moja ili wasaini sasa Leo tumewaendea kuwahoji mbona majina yetu hamjayalet a majibu nikichekesho sikieni jamani .Hatukuona Reg No ,Pamoja na Account no,Mimi nikamuuliza unajua majukumu yako akajibu ndio,Nikamuuliza hapa mnanamba si za ma loan officer wakila chuo? Akajibu ndio Nikamuambia kumpigia kumuomba hivo vielelezo ulivyovitaka uliona zambi? Akasema nikupitiwa tu ,Nasema tena nasema Idara ya malipo Ghorofa ya kwanzaa na huyo boss wenu mnavotutesa hamtatui shida zetu ,Mtatumbuliwa hivi karbuni.Hamuenei kwenye viti vyenu kabisa sisi sio wakusubiri siku zote hizo.Mnamuangusha muheshimiwa JPM hamuendani na kasi yake.Mungu awabariki ila mnatutesa sana fanyeni kazi aiseeeeedd
 
Ndugu wanajamvi msinione nalia nataasisi hii wananitesa sana , Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa 1mikopo yao ilioenda vyuo vingine na tulivyochaguliwa hakika usiombe ukutwe wewe ,mwanao au nduguyo yoyote na jambo hili atateseka sana ndugu zangu tangia niiingie chuo sijawahi saini mkopo wangu ulienda udsm Mimi selected chuo kingine kiukweli nimeenda Bodi sichini ya safari 20 tokea nianze masomo hakika majibu ninayoyapata hayanirizishi kabisa majibu yao ni subiri. Ndugu wanajamvi swala hili Bodi ya mikopo ilitoa siku sitini tangozo lao la mwezi Nov 2015 ambapo mpaka sasa tunaelekea siku ya 104 lakini mkopo wangu haujaletwa chuoni ili niusaini uingie kwenye Account yangu.Ndugu zangu wiki lililopita walileta chuoni majina 10 kati ya 30 wanafunzi wenye tatizo moja ili wasaini sasa Leo tumewaendea kuwahoji mbona majina yetu hamjayalet a majibu nikichekesho sikieni jamani .Hatukuona Reg No ,Pamoja na Account no,Mimi nikamuuliza unajua majukumu yako akajibu ndio,Nikamuuliza hapa mnanamba si za ma loan officer wakila chuo? Akajibu ndio Nikamuambia kumpigia kumuomba hivo vielelezo ulivyovitaka uliona zambi? Akasema nikupitiwa tu ,Nasema tena nasema Idara ya malipo Ghorofa ya kwanzaa na huyo boss wenu mnavotutesa hamtatui shida zetu ,Mtatumbuliwa hivi karbuni.Hamuenei kwenye viti vyenu kabisa sisi sio wakusubiri siku zote hizo.Mnamuangusha muheshimiwa JPM hamuendani na kasi yake.Mungu awabariki ila mnatutesa sana fanyeni kazi aiseeeeedd
Time will tell
 
Ndugu wanajamvi msinione nalia nataasisi hii wananitesa sana , Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa 1mikopo yao ilioenda vyuo vingine na tulivyochaguliwa hakika usiombe ukutwe wewe ,mwanao au nduguyo yoyote na jambo hili atateseka sana ndugu zangu tangia niiingie chuo sijawahi saini mkopo wangu ulienda udsm Mimi selected chuo kingine kiukweli nimeenda Bodi sichini ya safari 20 tokea nianze masomo hakika majibu ninayoyapata hayanirizishi kabisa majibu yao ni subiri. Ndugu wanajamvi swala hili Bodi ya mikopo ilitoa siku sitini tangozo lao la mwezi Nov 2015 ambapo mpaka sasa tunaelekea siku ya 104 lakini mkopo wangu haujaletwa chuoni ili niusaini uingie kwenye Account yangu.Ndugu zangu wiki lililopita walileta chuoni majina 10 kati ya 30 wanafunzi wenye tatizo moja ili wasaini sasa Leo tumewaendea kuwahoji mbona majina yetu hamjayalet a majibu nikichekesho sikieni jamani .Hatukuona Reg No ,Pamoja na Account no,Mimi nikamuuliza unajua majukumu yako akajibu ndio,Nikamuuliza hapa mnanamba si za ma loan officer wakila chuo? Akajibu ndio Nikamuambia kumpigia kumuomba hivo vielelezo ulivyovitaka uliona zambi? Akasema nikupitiwa tu ,Nasema tena nasema Idara ya malipo Ghorofa ya kwanzaa na huyo boss wenu mnavotutesa hamtatui shida zetu ,Mtatumbuliwa hivi karbuni.Hamuenei kwenye viti vyenu kabisa sisi sio wakusubiri siku zote hizo.Mnamuangusha muheshimiwa JPM hamuendani na kasi yake.Mungu awabariki ila mnatutesa sana fanyeni kazi aiseeeeedd
Hao jamaa wanajiona wamefiika, ukiwaelezea tatizo wanakupa majibu mepesi kweli
 
Ndugu wanajamvi msinione nalia nataasisi hii wananitesa sana , Mimi ni mmoja wa wanafunzi wa mwaka wa 1mikopo yao ilioenda vyuo vingine na tulivyochaguliwa hakika usiombe ukutwe wewe ,mwanao au nduguyo yoyote na jambo hili atateseka sana ndugu zangu tangia niiingie chuo sijawahi saini mkopo wangu ulienda udsm Mimi selected chuo kingine kiukweli nimeenda Bodi sichini ya safari 20 tokea nianze masomo hakika majibu ninayoyapata hayanirizishi kabisa majibu yao ni subiri. Ndugu wanajamvi swala hili Bodi ya mikopo ilitoa siku sitini tangozo lao la mwezi Nov 2015 ambapo mpaka sasa tunaelekea siku ya 104 lakini mkopo wangu haujaletwa chuoni ili niusaini uingie kwenye Account yangu.Ndugu zangu wiki lililopita walileta chuoni majina 10 kati ya 30 wanafunzi wenye tatizo moja ili wasaini sasa Leo tumewaendea kuwahoji mbona majina yetu hamjayalet a majibu nikichekesho sikieni jamani .Hatukuona Reg No ,Pamoja na Account no,Mimi nikamuuliza unajua majukumu yako akajibu ndio,Nikamuuliza hapa mnanamba si za ma loan officer wakila chuo? Akajibu ndio Nikamuambia kumpigia kumuomba hivo vielelezo ulivyovitaka uliona zambi? Akasema nikupitiwa tu ,Nasema tena nasema Idara ya malipo Ghorofa ya kwanzaa na huyo boss wenu mnavotutesa hamtatui shida zetu ,Mtatumbuliwa hivi karbuni.Hamuenei kwenye viti vyenu kabisa sisi sio wakusubiri siku zote hizo.Mnamuangusha muheshimiwa JPM hamuendani na kasi yake.Mungu awabariki ila mnatutesa sana fanyeni kazi aiseeeeedd
Duh. Issue ishaisha? Polse sana Mkuu.
 
Duh. Issue ishaisha? Polse sana Mkuu.
Mkuuu inshu nasema bado kwasababu ile Qurtor ya kwanza 7240000 ilienda udsm mpaka sasa sijaipata juz nilienda nikawauliza wamedai wameshalipa nimuambie loan officer aendee mzigo upo tayari loan officer ameenda Leo kama bado .Time will tell
 
Pole jamaangu, same case kwa walio appeal hakuna majibu ya aina yoyote yaliyotoka mpaka sasa. watu wamesubiria mpaka wamekata tamaa.
 
Mkuuu inshu nasema bado kwasababu ile Qurtor ya kwanza 7240000 ilienda udsm mpaka sasa sijaipata juz nilienda nikawauliza wamedai wameshalipa nimuambie loan officer aendee mzigo upo tayari loan officer ameenda Leo kama bado .Time will tell
Duh...Jamaa si wanatumiaga Form IV index No. iweke full wadau wao wapo hapa watakusaidia. Pole sana!
 
Asanteni wakuuu kwa kuniunga mkono but Leo nashukuru sana mungu wangu alioko juuu nimesaini kile nilichokuwa nawadai loan bord ingawa kuna mtoto wa masikini mwenye tatizo kama langu mkopo wake ulienda Chuo cha mipango yeye hajaletewa nilikuwa namueleza kila siku tuwafate hawa maharamia wa Bodi ya mikopo yeye anaenda darasani sasa sijui utasoma na njaaa ni jamaaa yangu but kwa kunikatisha kwake tamaaa iliniuma sana lakini nimeamini atafutae hupata nimekosana nao sana pale Bodi (Hslb) .
 
Mkuuu inshu nasema bado kwasababu ile Qurtor ya kwanza 7240000 ilienda udsm mpaka sasa sijaipata juz nilienda nikawauliza wamedai wameshalipa nimuambie loan officer aendee mzigo upo tayari loan officer ameenda Leo kama bado .Time will tell
Mkuu unasomea nini? 7,240,000/= kwa quarter(robo) ya kwanza? ???
 
Anasoma medicine! Ulifikiri anasoma "cultural Heritage" au "fine & performing arts kama uliyosoma wewe ambazo hata ukipewa mkopo wa buku tano unamaliza semester 6?
 
Ndugu zangu naombeni msaada wenu

Leo nilikuwa nalipia fomu Bodi ya mkopo
Kupitia ile njia ya OLA

Katika kujaza nimekosea mwaka Badala ya 2013 nikaweka 2016

Je nawezaje kubadili hii taarifa au ndiyo niandike maumivu?

Coz nimelipa Tsh 30,000/-
Je nilipe tena nyingine ama kuna namna ya kusahihisha nilichokosea?

Wakuu naombeni msaada wenu

Mwenye namba ya simu au Email address

Au namna yoyote tafadhalini nisaidieni mwenzenu
 
Back
Top Bottom