Recent content by Aisy

  1. Aisy

    Tunaenda Kondo kuujua ukweli

    Sema huaga dunia haina siri iko siku kati ya wauwaji watachoka kutumika watajitoa muhanga na siri zote zitavuja…who expected Polepole kuja kuyaongea mambo yote ya wanamtandao…ni swala la muda tu
  2. Aisy

    PostGE2025 Umuhimu wa amani na mshikamano

    HATUTAKI AMANI TUNATAKA HAKI HAKI HAKI HAKI HATUTAKI MTU ATUSIHI sijui amani hatutaki tunataka haki na uwajibikaji Na ambia wengine sasa hivi sio zama za 1970s-1990s
  3. Aisy

    PostGE2025 Baraza la maaskofu Tanzania (TEC) mnatukosea sana wakatoliki

    Kwa hapa tulikofiks HAKUNA MAELEZO YANAYOTOSHA KUHALALISHA MAUAJI YALIYOTOKEA, Unaongelea waandamanaji ni wezi na wahalifu vipi waliopigwa Risasi majumbani kwao???? Kanisa lina nafasi kubwa katika kushape watu. Yesu Kristo aliye kiini cha ukristo alikemea waziwazi maovu na alidiriki kufanya...
  4. Aisy

    Rekodi zinaonyesha Spika atakuwa mpya sio tena Dr. Tulia

    Lets bookmark this for reference
  5. Aisy

    Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Kuna mahali waliposema utuonyeshe ushahidi? Tamko au waraka?
  6. Aisy

    Ukweli mchungu: Maombi ya kujionesha, hata kama ni ya siku tisa (Novena), Mungu hayasikii

    Sijajua kama nimekuelewa ila kama unasoma vizuri bibilia yako unajua mitume walichokuwa wanakifanya ukisoma Matendo ya mitume sura 6 za kwanza zinaonyesha mitume ambao walijitengeneza mazingira ya kusali na kuna mahali kabisa ilionyesha”a hour of prayer” (Mdo 3)…kujionyesha ni pale ambapo...
  7. Aisy

    Tangu niwe na nyumba ndogo (mchepuko), ndoa yangu ina amani sasa

    Miaka 15 ijayo binti yako nae atafanyiwa hivi Asante maana apandacho mtu ndicho atakachovuna
  8. Aisy

    TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Mtu ukiview profile yako kule mwisho GPA point inaniandikia 0.00 hapa inakuaje wakuu?
  9. Aisy

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Perfect Marriage Revenge Drama iliomo humu ndani visa visa
  10. Aisy

    Ulipo kuna umeme muda huu?

    Na kesho tena
  11. Aisy

    Ulipo kuna umeme muda huu?

    Huu ndo ufunguzi official wa mgao wa umeme yajayo yanafurahisha
  12. Aisy

    Ulipo kuna umeme muda huu?

    Hadi sa izi yanii sijui wanatuonaje hawa wajinga
  13. Aisy

    Nani anafahamu jinsi ya kusali Novena ya Mtakatifu Rita wa Kashia anisaidie?

    Halafu jamani kwanini kama kitu mtu hukijui au huna jibu usikae tu kimya?matusi, kejeli, dharau kwa imani za watu wengine ni ya nini?Kama imani yako haiko kwenye imani za wengine kwanini uone wanakosea? Kila mtu ana namna yake ya kumuomba Mungu ili afanikishiwe mambo yake au amshukuru Mungu...
Back
Top Bottom