Sema huaga dunia haina siri iko siku kati ya wauwaji watachoka kutumika watajitoa muhanga na siri zote zitavuja…who expected Polepole kuja kuyaongea mambo yote ya wanamtandao…ni swala la muda tu
HATUTAKI AMANI TUNATAKA HAKI HAKI HAKI HAKI
HATUTAKI MTU ATUSIHI sijui amani hatutaki tunataka haki na uwajibikaji
Na ambia wengine sasa hivi sio zama za 1970s-1990s
Kwa hapa tulikofiks HAKUNA MAELEZO YANAYOTOSHA KUHALALISHA MAUAJI YALIYOTOKEA,
Unaongelea waandamanaji ni wezi na wahalifu vipi waliopigwa Risasi majumbani kwao????
Kanisa lina nafasi kubwa katika kushape watu.
Yesu Kristo aliye kiini cha ukristo alikemea waziwazi maovu na alidiriki kufanya...
Sijajua kama nimekuelewa ila kama unasoma vizuri bibilia yako unajua mitume walichokuwa wanakifanya ukisoma Matendo ya mitume sura 6 za kwanza zinaonyesha mitume ambao walijitengeneza mazingira ya kusali na kuna mahali kabisa ilionyesha”a hour of prayer” (Mdo 3)…kujionyesha ni pale ambapo...
Halafu jamani kwanini kama kitu mtu hukijui au huna jibu usikae tu kimya?matusi, kejeli, dharau kwa imani za watu wengine ni ya nini?Kama imani yako haiko kwenye imani za wengine kwanini uone wanakosea?
Kila mtu ana namna yake ya kumuomba Mungu ili afanikishiwe mambo yake au amshukuru Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.