Recent content by aisherjs

  1. A

    Mwanangu ananyonya sana!

    Jitahidi Kuwa unakula kila Mara kwani kushiba kwako wewe ndo hutengeneza maziwa ya mtoto pia kula sana vitu vya majimaji na laini laini na usisahau kula mchemsho Wa pweza unasaidia sana kujaza maziwa. Jitahidi usimpe kitu chochote mwanao zaidi ya maziwa yako.
  2. A

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    Naomba mnifahanishe iwapo mke ndio kataka kukatiza ndoa yake namaanisha kuomba talaka bila kuwa na ugomvi kati yake na mumewe. Je, hapo kunahitajika kigawana mali? Na je, mtoto ataenda kuishi na mama au baba?
  3. A

    Kufa ganzi

    Nimekupata fadhil Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  4. A

    Kufa ganzi

    Habari, mimi ni mwanamke na mama wa mtoto mmoja, tatizo langu ni kwamba miezi miwili nyuma nilijifungua kwa operation, sasa ule mkono ambao ulitumika kutundikiwa drip na kupitishia dawa umekua km unakufa ganzi na muda mwingine unakua hauna nguvu hata kunyanyua kopo la choon inakua tabu je hii...
  5. A

    Tohara

    Wana JF nilikua nauliza ni hospital gan hapa dar ni nzuri kutahiri mtoto wa kiume na cost zake zikoje, na je kutahiri mtoto akiwa mdogo huleta madhara yoyote kiafya? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  6. A

    Dolls

    Eti hivi vimpira km chuchu tunavowawekea watoto wadogo mdomoni kuvinyonya (sio chupa za maziwaviinamadhara yoyote kiafya? Msaada kwa anaejua Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  7. A

    Wanaume Wanaotafuta Maisha Mnatia Huruma Ila Mnakuwa Kituko Mda Mwengine.

    Lala my dear kwnn hukumwambia kaka wa watu mapema kua u dnt hv space for him umeanza kumzingua cnc he is a lito kid mbaka sasa ni big kid jaman dhambi. Tell him once and for all HE S NOT NEEDED Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  8. A

    Jiandae kuangalia TV Imaan na kusikilza Radio Imaan

    Maasha allah redio imaan elimu bila mipaka, twende kazi vijana shkh kishki, anko tembo, kaka mponda. Niliwamisije? Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  9. A

    Kuolewa kuna raha zake!

    Hata ukikwaruzana na mtu au boss ofisin mume anakupa beby dnt cry Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  10. A

    Kutokwa damu

    Jaman nashukuru kwa ushauri wenu umenisaidia kwa asilimia 75 leo nimepata. Choo lain hata maumivu sijayasikia sana Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  11. A

    Wadada Tuolewe Tu Wanaume Wa Kawaida! Mwanaume Anakuw Wa Maana Kabl Hujamkubali Tu! Ukimkubali Ovyo!

    Na hii ya kuchagua sana at the end of the day unajikuta umri umeenda zinaanza headache na presha za kutafuta mume kinguvu as we know kuolewa ni heshima bwana na pia kuna raha yake asikwambie mtu ndo hapo pajikuta unaolewa na lijimwanaume ambalo hata kwny ndoto hakuwahi kumfikiria Sent from my...
  12. A

    Ni uduni na ufinyu wa mawazo kuvibeza vyuo vikuu vingine kwa misingi ya ubora usio wa kimantiki!

    Unaweza ukawa prof ukashindwa kudeliver material kwa wanafunzi. Pia hao maprof 25 mnaojidaia na kuwazungumzia ud c ndo haohao wanaozunguka na ku part time vyuo vingine sasa tofauti iko wapi? Hapo tofauti yake labda jina Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
  13. A

    Kutokwa damu

    Ni mwanamke, choo karibia kila siku napata na wala hainipi tabu ila kuanzia juzi ndo yameanza matatizo haya nahisi kwnda haja lakini nikienda inakua tabu kutoka na inakua ngumu hadi nahisi maumivu.
  14. A

    Kutokwa damu

    Jamani nisaidieni, jana usiku nilienda haja kubwa cha kushangaza haja ilikua ngumu kutoka nilipojitahidi kuikamua nilihisi maumivu makali then nikaona vidamu vinadondoka nikashindwa kuendelea na haja leo mchana haja ikanibana tena nikaenda msalani mambo yakawa yale yale ya jana hapa nilipo hata...
Back
Top Bottom