Maadili yepi... Mtaani, singeli akina Diamond chomoa nijambe. Huku juu, serikali ukikwapua mabilioni unaonekana mjanja. Maadili yaanze kwanza kwao. Uwizi wa kura pia ndyo upotofu mkubwa wa maadili.
cha maana aheshimu mahakama.mahakama zetu ziwe huru zisingiliwe na watendaji wa serikali km dc rc na wengneo.tumeona watendaji weng wakipuuza amri za mahakama awamu hi ya tano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.