New Order is real. It is here to stay

Kiuasilia hamna jambo jema wala jambo baya. Yote yanaenda sambamba kama sarafu ilivyo na sura mbili Shida akishaingia mwanadamu na macho yake anashindwa kutambua jambo analoliona ni baya hivyo hivyo ni jambo jema kwa upande mwingine.

Mfano kwa mtu mshika dini hawezi kuuona msuli wake wa imani kama hatapata majaribu. Na atakuwa mwamba hasa endapo pale ana hisia tofauti na yaliyomo katika vitabu vya kidini, hapo sasa ndipo atakapoweza jipima mwenyewe kama kweli anaenea kwenye dini yake.
 
Dunia inapitia katika vipindi mbalimbali; Kuna jamii zilishape watu wake kwa kuweka adhabu kali sana za kuogofya kwa wale wote waliothibitika kufanya matukio ambayo jamii iliyakataa kama kuliwa na watu uliowakosea (cannibalism) kunyongwa, kuchinjwa hadharani, kutupwa kwenye mto wenye mamba huku watu wote wakimshuhudia tc lakini still hao watu waliendelea kuprevail katika vizazi na vizazi.
Zikaja Zama za dini ili kujenga upendo na kupunguza wingi wa machukizo mbele ya macho ya jamii na Mungu na sasa ni Zama za Sayansi na teknolojia. So Yale yote yanayohusiana katika kuamini uwezo wa binadamu katika kujiamulia na utendaji wake katika maisha ya kilasiku ndicho kinachopigiwa kelele sasa. Tutapinga lakini waeneza hizo ajenda wataendelea kuwepo na wengine wataongezeka na baadae zitafuata Zama gani huko mbeleni.
Yalishanenwa toka enzi na enzi, hayana budi kutokea na mengi yatafuata

Dini hazifai,zimekuja kutengeneza utengano na ujinga na upuuzi,unapata wapi nguvu ya kuuwa wengine na kuwachukia eti kisa sio wa dini yako,magaidi yalaaniwe. Taratibu dini zinaenda kuwekwa kapuni,sayansi na teknolojia ndio uhai wa dunia hii.
 
NEWO Wameshikilia dunia wamekuja na mpango wakuabudu siku moja dunia nzma nakuwa na biblia mpya ambayo tayari imeshatoka
 
NEWO Wameshikilia dunia wamekuja na mpango wakuabudu siku moja dunia nzma nakuwa na biblia mpya ambayo tayari imeshatoka
Watumie nguvu na akili kubwa sana wakitaka jambo lao lifanikiwe maana karne hii ni tofauti sana na karne za zamani
 
Tunaishi katika hali ya hatari sana na watu bado hawaamini. New world order tayari imeingia Tanzania. Siyo muda mrefu hatutakuwa na mamlaka ya kusafiri. Tunashundwa kusafiri kwa njia ya bahari na anga zote kwa pamoja zitaanzwa kulindwa na watu wa nje wasio kuna na huruma na mtu mweusi.

Soon hatutakuwa na Utawala wa uchumi wetu kwa sababu uchumi ni bahari. Mda siyo mrefu tutashindwa kuagiza bidhaa tuzitakazo kwani tutakuwa tayari hatuna mamlaka ya bahari.

Soon jeshi la wananchi la bahari litazidiwa nguvu na vikosi vya ulinzi wa bahari. Mda siyo mrefu watu wataanza kusimamishwa kwenye boti na meli kisha kuombwa vitambulisho.

New world order is real hapa Tanzania na kupitia sisi nchi zingine zote zinazotumia bahari yetu nazo zitatawaliwa pia kwasababu Tanzania ni mlango na ni Nchi ya ahadi. Venance mobeyo kakutana na pope wa vatikani. Ambaye ndiye mkuu wa new world order.

Tupo zama za mwisho tumuombe Mungu sana atuokoe na kutulinda na kutupa ushindi dhidi ya maadui wanadamu wenzetu ambao wanashirikiana na viumbe kuua na kula damu zetu na nyama.
 
Back
Top Bottom