bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,185
- 2,133
Kiuasilia hamna jambo jema wala jambo baya. Yote yanaenda sambamba kama sarafu ilivyo na sura mbili Shida akishaingia mwanadamu na macho yake anashindwa kutambua jambo analoliona ni baya hivyo hivyo ni jambo jema kwa upande mwingine.
Mfano kwa mtu mshika dini hawezi kuuona msuli wake wa imani kama hatapata majaribu. Na atakuwa mwamba hasa endapo pale ana hisia tofauti na yaliyomo katika vitabu vya kidini, hapo sasa ndipo atakapoweza jipima mwenyewe kama kweli anaenea kwenye dini yake.
Mfano kwa mtu mshika dini hawezi kuuona msuli wake wa imani kama hatapata majaribu. Na atakuwa mwamba hasa endapo pale ana hisia tofauti na yaliyomo katika vitabu vya kidini, hapo sasa ndipo atakapoweza jipima mwenyewe kama kweli anaenea kwenye dini yake.