Now utake au usitake jambo la public linatizamwa sana kwa mlengo wa kidini
Wakristo wameanza hizi mbanga za kujibisha kidini juzi tuu kipindi cha kikwete waislam walitaka kujitengea mikoa yote ya pwani na kati sijui kilitokea nini....
Kuna kitabu nilikisoma sikumbuki jina ila kinaelezea kuwa "baada ya majaribio mengi ya kimapinduzi Mwl Nyerere na viongozi wachache sana wakakubaliana kuanzisha mfumo ambao utachunguza vijana watiifu sana wa TANU na hao ndio watachaguliwa kuwa kuwa viongozi na sio mfumo uliokuwepo awali wa...
Hayo mapango hata amboni TANGA yapo tena mazuri yenye kustaabisha sema ndo ivyo wazee wetu walikuwa wajinga wasiotaka kutengeneza vitabu vyao
Waarabu wametengeneza kitabu ndani yake wameweka maeneo ya kitalii walimwengu wanaenda kushangaa kwa gharama kubwa na uchumi wao unakuwa kwa kasi sana...
Nimesoma hadi kati haijanivutia imenichosha ila story kama hizi ndio mambo yangu
Ongeza nyamba punguza "korido ndefu kunja kulia rudi nyuma nenda kushoto pita kwa chini"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.