Recent content by aimi lyatuu

  1. aimi lyatuu

    Tunatoa huduma ya kukodisha magari kwa bei

    Kwanini isiwe kwa uwazi Kama kukodi ya watu 4 kwa masaa 12 ni bei 1000 kisha mteja ajifanyie tathimi Ama vipi?
  2. aimi lyatuu

    Nini kinakuongoza kuzipenda ama kuzichukia Marekani na Israel?

    Ni kutumia akili duniani hapa Kwani- Kwa ground mambo ni tofauti sana like simba na yanga zinavyo jadiliwa kuliko mijadala ya kimaendeleo ya nchi Fikiri toka c_19 mara 🇷🇺 vs 🇺🇦 tension kushuka tu Oct-7 Kila siku na sasa ni miezi karibu 6 media zinatangaza 🇮🇱 imewaua 🇵🇸 20-30 na hakuna kitu...
  3. aimi lyatuu

    Wachaga nini siri ya mafanikio yenu?

    Kama siyo system kuwakanyangia wachaga Hii nchi ninyi mngeiskia kwenye bomba
  4. aimi lyatuu

    Nini kinakuongoza kuzipenda ama kuzichukia Marekani na Israel?

    Sababu kuu ni Imani Nyinginezo ni :-maendeleo Tamaduni Geographical.....
  5. aimi lyatuu

    Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini

    Linauwa watu kuna ndugu yako aliwahi kumuuwa..?! Watu waliotekwa aliwahifadhi wapi ndugu NAZI Lina piga watu risasi kwa kutumia silaha aina gani muda huo ukiwa wapi anafanya tukio hilo..?! Huo uporaji wa fedha aliufanya kwenye nyumba ya nani...?
  6. aimi lyatuu

    US kufukuzwa UN ili amani ya dunia ipatikane

    Acha mapepe kwa uandishi
  7. aimi lyatuu

    Kwanini watalii wa China wameacha kutalii nchi za Magharibi?

    Kwenye swala la ujasusi ni kweli China ni kirusi
  8. aimi lyatuu

    Zanzibar: Wamaasai wapambana na polisi waliotaka kuwapora rungu na sime zao

    Japo watatendwa vibaya kisa sio waislam Wameonyesha maasai ni nani
  9. aimi lyatuu

    Tunawezaje kuzuia double agents, inazidi na itazidi kuwa changamoto

    Dogo naweweseka ni op kikwete baada ya hapo dogo hatukujua kapotelea wapi time ya mwisho namkuta twitter misamiati push-up
  10. aimi lyatuu

    Mji-mjini ya mawe ni wa daima

    🤡🤡
  11. aimi lyatuu

    Ninatafuta ufundi bajaji za tvs

    Wataalam habari Ninachangamoto ya kusumbuliwa na tatizo la kusmoke mara kwa mara kwa bajaji yangu aina ya tvs Oil kila baada ya wiki mbili block na Piston ni OG na nimefunga wiki mbili nyuma Valve hazina carbon wataalam kinachoua ring mara kwa mara ni nini??
  12. aimi lyatuu

    Nimeamua kuharibu mwili Ili nipate pesa

    Kazi ngumu sio nguvu tu bali kwa asilimia kubwa ni uzoefu So hayo madude unayotaka kutumia yatakufanya uwe weak sana tumia vitu vya asili sana EWE BLUU!!
  13. aimi lyatuu

    Dunia ina Umri gani?

    Chuo madrassa hapa hufui dafu
Back
Top Bottom