Recent content by aimi lyatuu

  1. aimi lyatuu

    Haya ndio matatizo ya Kenya katika picha moja

    😂😂😂 wasichana wa Kenya ni quality sana
  2. aimi lyatuu

    Je ni chuki au ushindani baina ya waislam na Wakristo?

    Now utake au usitake jambo la public linatizamwa sana kwa mlengo wa kidini Wakristo wameanza hizi mbanga za kujibisha kidini juzi tuu kipindi cha kikwete waislam walitaka kujitengea mikoa yote ya pwani na kati sijui kilitokea nini....
  3. aimi lyatuu

    CHADEMA someni hiki kitabu

    Kuna kitabu nilikisoma sikumbuki jina ila kinaelezea kuwa "baada ya majaribio mengi ya kimapinduzi Mwl Nyerere na viongozi wachache sana wakakubaliana kuanzisha mfumo ambao utachunguza vijana watiifu sana wa TANU na hao ndio watachaguliwa kuwa kuwa viongozi na sio mfumo uliokuwepo awali wa...
  4. aimi lyatuu

    Elimu ya dini juu ya Yesu/Muhamadi siyo akili ya Mwafrika bali akili yake ni kile kinachobaki baada ya kuondoa hiyo elimu ya dini

    Hayo mapango hata amboni TANGA yapo tena mazuri yenye kustaabisha sema ndo ivyo wazee wetu walikuwa wajinga wasiotaka kutengeneza vitabu vyao Waarabu wametengeneza kitabu ndani yake wameweka maeneo ya kitalii walimwengu wanaenda kushangaa kwa gharama kubwa na uchumi wao unakuwa kwa kasi sana...
  5. aimi lyatuu

    Nani wa kumhoji nani? An open discussion to those who can critically think on behalf of others

    Ni sawa na kuuliza nani wa kumfunga paka kengele System imecorrupt wanakaya nao wamelala na kila anayejaribu kuwaamsha wana mdude!!
  6. aimi lyatuu

    Mwana yupo jela kwa Kesi ya unga, yule slay qeen karudi tena kwenye game la kukaa uchi Insta... she belongs to the streets.

    Shida haimfai mtu ila ukijikomboa watu wanachimba umezikimbia vipi shida kisha wanakurudisha kwenye shida Life is a bad game!!
  7. aimi lyatuu

    Je umelisikia tangazo hili? Nchi ina maajabu sana hii

    Tumeruhusu wajinga kufanya maamuzi na wasomi kuwa chawa
  8. aimi lyatuu

    Wananchi wahoji kulikoni awamu ya 3, ya 4 na ya 5 hakukuwa na kesi za Uhaini, Kulikoni awamu ya 6?

    Mimj naona ni aibu sna kufanyiwa maamuzi na asiye na asili ya tanganyika kwenye aridhi ya tanganyika
  9. aimi lyatuu

    Mtu anieleze faida ya kuoa

    Pasta Joshua Acha ujinga
  10. aimi lyatuu

    Maelekezo kutoka juu: Siku ya wasiojulikana

    Nimesoma hadi kati haijanivutia imenichosha ila story kama hizi ndio mambo yangu Ongeza nyamba punguza "korido ndefu kunja kulia rudi nyuma nenda kushoto pita kwa chini"
Back
Top Bottom