Recent content by aikacharity

  1. A

    Range Rover luxurious zaidi duniani lazinduliwa Marekani

    Range Rover Autobiography ni kali mbaya na bei zake cyo juu sana kiasi kwamba cyo macelebrities tuu watamudu kumiliki. Hili kuna watu hapa bongo watavuta within two to three months
  2. A

    Mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aua kwa bastola Arusha

    Mimi nilinunua kumlindia mke wangu.......wengi tunadhani bastola kazi yake ni kulinda mali kumbe kazi yake ni kulinda uhai wako na jamii. Kama huwezi karate na boxing hiyo kitu inafaa. Vijana wa toyo wakikuharasi unaweza kujiokoa au kuokoa gari lako....wanachokosea masharo ni kuitumia kama urembo
  3. A

    Kauli ya maaskofu ipingwe na kila mzalendo wa nchi yetu!

    Katiba ambayo haiwabani mafisadi haifai. Katiba isiyo na mwafaka haifai kuwa katiba ya nchi bali katiba ya wala nchi. Katiba ambayo haina mpango wa kuboresha uchumi wa taifa haifai.
  4. A

    Ifikie wakati serikali iruhusu bangi, tumechoka kuvuta kwa kujificha!

    Mimi najaribu kuwaza matukio ya wavuta bangi na walevi wa pombe hususan viroba utagundua bora wakataze viroba na banana wakaruhusu bangi kama ni lazima kuruhusu vilevi
  5. A

    Kuficha pesa Uswisi, ujinga wa kiwango cha juu

    Ni hatari kutawaliwa na mtu mwenye uchu na mali
  6. A

    Risasi zarindima, Majambazi wawili Raia wa Italia watiwa Mbaroni

    Isijekuta polisi walitaka kufanya Zombe style
  7. A

    Jeshi la Polisi limepiga marufuku vioo vya mbele vya magari kuwa vyeusi

    Huwa sipendi makuu na askari hata kama ni mgambo wa jiji, niliposikia taarifa ya kupiga marufuku tinted kwenye vioo vya mbele, nilibandua hicho kidogo cha kwenye wind screen na za ubavuni kwa dereva. Nikijaribu kuangalia wenzangu tint za ubavuni zipo vile vile, nikapata shaka na nilivyoielewa...
  8. A

    Jeshi la Polisi limepiga marufuku vioo vya mbele vya magari kuwa vyeusi

    Wanajf kama mtakumbuka kuna taarifa zilisambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari kuhusu kukatazwa kwa tinted kwenye vioo vya mbele vya magari. Naomba ufafanuzi vioo vya mbele ni vipi? Kuna wind screen na pia kuna vioo vya mbele ubavuni kwa dereva kulia na kushoto. Je, hivi vioo vya mbele...
  9. A

    Barabara zetu ni ajali tosha, madereva ni chambo tu!

    Huwezi ukajua labda kuna mgombea anatoa kafara....kama tuu albino wamekosa amani ndani ya nchi yao
  10. A

    Saa inatakiwa kuvaliwa mkono gani?

    Hata wedding ring? Naona hata pete ya ndoa Baba Miraji kaivaa kulia? Atakulaje ugali?
  11. A

    BAKWATA yamruka shehe Alhadi, yamtetea Kinana

    Wote watatu wapo sahihi...Kinana, Shekh Alhad Musa na Mufti Simba
  12. A

    Silaha yangu ina hitilafu, Ushauri unahitajika

    Nenda Mzinga uwaeleze tatizo la silaha yako watakurekebishia. Ukiona inakuwa tabu badilisha, waongezee fedha kidogo uchukue Glock calibre (kipenyo cha mdomo wa mtutu) 9x19 mm, 25 rounds au glock nyingine yeyote ni bora zaidi ktk matumizi coz haina tabia ya kukwamisha risasi, tatizo ni bei na...
  13. A

    Kwanini Rais Kikwete hampi kazi Balozi Ami Mpungwe?

    Kwa Tanzania cheo cyo dhamana bali ni ulaji. Asubuhi na mapema yote hii kumpigania fisadi aendelee kupewa ulaji ( ubalozi ) ni kukosa maarifa au upambe nux. Mimi sina tatizo na makaburu kuwekeza ila tatizo ni watu kama hawa kina Mpungwe hawako kwa maslahi ya taifa. Baada ya makaburu kutorosha...
  14. A

    Atunukiwe PhD Mwl. Christopher Mwakasege

    Mungu alichomtunuku kinatosha asije akaharibu kilibhopo ndani ya moyo wake. Nautambua sana mchango wake lakini Mungu atosha. Matendo anayoyafanya cyo yeye ni Mungu hivyo wa kuitwa Dr. ni Mungu. Tusimjengee roho ya kujiinua tukaharibu kusudi la Mungu. Nimesikia wengine wakijiita Mtume na Nanabii...
Back
Top Bottom