Mie nilijua nanilii.....kumbe vipuri
Nazungumzia Beretta 9.0 mm,16 rounds.
Mie nilijua nanilii.....kumbe vipuri
Na wewe sema Hospitali sio Hospitalsio siraha sema silaha, sio hospitari sema hospital
Namiliki silaha ndogo ambayo imekuwa na mushkeli siwezi tena kuitumia na vipuri havipatikani. Nikihitaji kununua silaha mpya je nitatakiwa kufanya maombi upya ili nipatiwe leseni mpya ya umiliki?!
Nazungumzia Beretta 9.0 mm,16 rounds.
Nenda makao makuu ya chadema wananunua kwa ajiri ya RED BRIGADE
Kaka 9.0mm bonge la kitu, tatiz nini mkuu? Ni action, stock ama muzzle part? At least ungesema coz bunduki is just a collection of parts which are replaceable, you just specify model & country of origin to have your spare replaced
Mie nilijua nanilii.....kumbe vipuri
Haiwezi kuwa yako. . . .na kama yako hukutakiwa kuwa nayo kabisa!!!
Namiliki silaha ndogo ambayo imekuwa na mushkeli siwezi tena kuitumia na vipuri havipatikani. Nikihitaji kununua silaha mpya je nitatakiwa kufanya maombi upya ili nipatiwe leseni mpya ya umiliki?!
Chombo kinaaribika baada ya matumizi mengi kwa hiyo silaha yako unataka kutuambia imeshaua sana au vipi?
Fafanua mkuu, una hoja ila imejificha!!! kwa nini hakutakiwa kuwa nayo kabisa?
Huwez Fanya maombi kama mwanzo bwana kama no bastola say browsing 8mm na imeshindikana kabisa kutengeneza unaenda moja kwa moja polis huanzii serikal ya mitaa na hiyo lazima irudishwe na utapewa fomu ya kujaza utapata lesen ya siraha ya aina hiyo ila lesen pia utapewa nyingine.ikumbukwe huwez miliki siraha ya aina Moja zaid yz moja.unaweza omba shortgun pump action may be maana no tofaut na bastola na maombi hapo yanakuwa kama mwanzo.Ila sizan kama Tanganyika arm wataishindwa try to cross check with them