Kulingana na kuwepo kwa changamoto nyingi sana zinazoikumba jamii ya kitanzania kuhusu gharama za bando na kuwepo kwa kutoeleweka namna ipi itumike ili kuwezesha upatikanaji wa gharama nafuu za bando kwa watumiaji wa mitandao, kwa maoni yangu naona namna sahihi itakayotatua changamoto hii ni...
Kwa sasa watu wengi ambao walishakuwa katika hali nzuri ya kiuchumi wanawataka vijana waweze kujiajiri, kiukweli ni sahihi kulingana na hali ilivyo lakini tatizo kubwa linalowakabili vijana ni mitaji na ubunifu sahihi wa biashara katika mazingira husika.
Familia ni muunganiko wa baba mama na watoto lakini inaweza kuwa familia ya mzazi mmoja au ya namna nyingine, familia nyingi za kitanzania huhusisha ndugu mchanganyiko kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya kazi.
Malezi ni kitendo cha kulea lakini malezi bora ni kitendo cha kulea katika...
UTANGULIZI
Sayansi na teknolojia ni maneno mawili tofauti lakini yana maana zinazohusiana, Sayansi ni elimu inayoambata na majaribio kuhusu kitu fulani lakini teknolojia ni matumizi ya sayansi ambayo hutumika kutengeneza vifaa vitakavyotumika kutatua mambo,kwa maana hiyo kuna uhusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.