Recent content by AIDAN DIDACE

  1. AIDAN DIDACE

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Docta mke wangu amejifugua na ana week tatu mpaka sasa alinambia kuwa ana hamu ya kufanya tendo la ndoa maana alikuwa amekauka tayari sasa nimejisahau nikamwaga ndani je upo uwezekano wa kupata mimba kwa kipibdi hiki? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. AIDAN DIDACE

    Startimes mnataka nini?

    Nyie wahuni tu me mliniambia kuwa nifike bamaga mkaniambia kisiri siri kuwa nilipie 45000/=Tsh ndo nizipate hizo niliwachukia nyie wahuni mnatangaza kuwa mnatoa chanel bure afu mnatutakisha pesa wezi wakubwa nyie Sent using Jamii Forums mobile app
  3. AIDAN DIDACE

    Elimu

    We boya kweli kweli unajua nimepataje hiyo mfyuuu kwenda zako. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. AIDAN DIDACE

    Elimu

    Naomba mnisaidie hapa mimi niliitimu kidato cha sita 2017 nilisoma combination ya HKL na nina 3.14 division nina D,E,E,E sasa coz gani naweza chukua University? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. AIDAN DIDACE

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Sasa mnaposema tulipie 45000 ili tupate free chaneli ambazo no star tv ,ITV, TBC,east Africa, na channel 10 mnataka pesa za mini ili kuunganishwa na free chaneli kama siyo wizi huooo toeni free maana mshasema kutoa bureeee
  6. AIDAN DIDACE

    Startimes wanajifanya kuwa wamekubali kutoa chaneli za ndani bure lakini siyo kweli

    Hivi serikali iko wapi? kwanini tunapinga mikataba feki lakini bado inaendelea kuexist ndani ya nchi hii hii no ambapo tulipata habari kuwa baadhi ya ving'amuzi kuwa vimeamua kufungia baadhi ya chaneli kama Star Tv, ITV CLOUDS mfano kwa watumiaji wa DSTV,AZAM &ZUKU Ila hawa star times...
  7. AIDAN DIDACE

    Tangazo la nafasi za kazi kutoka JN Group Co

    Tunawaelewa vizuri tu sasa mmeamua kuamia vijijini eti?
  8. AIDAN DIDACE

    List ya transfer za degree mbali mbali

    Yaani ni shida wametuchomesha Mainldi hao
Back
Top Bottom