Startimes mnataka nini?

Startimes mnataka nini?

Nilichogundua kwa haraka ni kwamba wa tz wakishabaki na channel za ndani ambazo ndio za bure basi hawalipii kabisa channel za ziada.
Sasa mjue hao startimes wana familia zinataka kula,kuvaa na kusoma pia.
Kwa hiyo lazima wajiongeze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli
Hata mimi sikuwa na mpango wa kulipia tena. Labda kwa sababu wamekata kwa sasa , nafikiria kulipia
 
Habari! Mbona mmetoa baadhi ya Channels kwa sasa hazionekani kama

Clouds
Tabibu
TV E
Dira
Tumaini tv
Mlimani tv

Na baadhi ambazo zilikuwa zinaonyesha Tatizo nini

habari yako, pole kwa usumbufu unaoupata, je unaishi wapi? na je chanel hizi zipo katika orodha ya chanel au hazipo?
 
Back
Top Bottom