Watanzania watamchagua huyo huyo maana wengi wa watanzania akili less hawana upeo wakufikiri, watagaiwa T-shirt za kijani ,10000, na viroba then ccm itashida ikisaidiwa na Jeshi la Police.
Lisu hana haja ya kuwataja,makonda elaende tuu kwa akiekua boss wake (Mh kikwete anayo list akachukue km nikidume kweli wa kuwashuhulikia wauza unga)wasituzingue sisi akili zetu.unadel na madagaa wakati mapapa unawajua?
Na wewe starehe unahisi kwa upeo wako ni yaku lewa,kufanya zinaa, na wanawake kuvaa uchi tuu? Hakuna starehe bila ya kulewa ,kufanya zinaa,na wanawake kukaa uchi mbele ya manaume???
Tatizo sio kuwazuia waislam kuingia marekani na nchi za ulaya,mana huko ulaya na marekani yake waislam wapo na wameshajazana sasa na asilimia kubwa wanaofanya hayo mashambulizi si kwamba wanasafiri kwa kwend kufanya mashambulizi tuu nikuwa wanaishi hukohuko ulaya kwa muda mrefu sio wiki wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.