Je, Polepole ndani ya CCM atasimamia kile anachoamini au asichoamini?

Hana anachokiamini ni Kada na mbabaishaji kama wana siasa wengi walivyo! Angekataa UDC kama kweli anamsimamo
 
Kwa CCM hii yenye Mamlaka itammbidi hiyo Polepole aburutwe na mfumo ,ameajiriwa anatakiwa kufuata maelekezo kutoka kwa wenye Chama...
 
Sote tunajua umaarufu wa ndugu Polepole umekuja baada ya misimamo yake iliyotokana na rasimu ya katiba mpya ambayo kimsingi inakizana kwa kiasi kikubwa na chama chake. Tujiulize kama hatakuwa mnafiki atahubiri nini ndani ya chama chake?. Ni mabadiliko gani makubwa atayafanya ndani ya chama chake?. Naamini Polepole alimaanisha kile alichokisema wala haikuwa njaa kama wengi wanavyosema. Mabadiliko ya kweli ni kusimamia kile unachohubiri:
1. Serikali 3
2. Kupunguza kwa madaraka ya rais
3. Nafasi za wakuu wa wilaya & Mkoa hazina tija hivyo zifutwe.
3. Ukomo wa ubunge
4. Mawaziri wasitokane na wabunge
5. Tume huru. Na mengine mengi.
kuna kitu gani anachokiamini ambayo unafikiri anacho kichwani kwake cha kueleweka? kwa ile you turn yake unafikiri ni wa kuaminiwa tena?
 
Nasubili atatoka vipi kinyume na haliyasimamia. Ama kweli mchwi mpe mwanao alee. CCM wa ajabu! Wanatumia umaskini na njaaa za wenye akili kuteka fahamu zao. Wakishindwa kuteka fahamu wanateka kiwiliwili.....
 
Sote tunajua umaarufu wa ndugu Polepole umekuja baada ya misimamo yake iliyotokana na rasimu ya katiba mpya ambayo kimsingi inakizana kwa kiasi kikubwa na chama chake. Tujiulize kama hatakuwa mnafiki atahubiri nini ndani ya chama chake?. Ni mabadiliko gani makubwa atayafanya ndani ya chama chake?. Naamini Polepole alimaanisha kile alichokisema wala haikuwa njaa kama wengi wanavyosema. Mabadiliko ya kweli ni kusimamia kile unachohubiri:
1. Serikali 3
2. Kupunguza kwa madaraka ya rais
3. Nafasi za wakuu wa wilaya & Mkoa hazina tija hivyo zifutwe.
3. Ukomo wa ubunge
4. Mawaziri wasitokane na wabunge
5. Tume huru. Na mengine mengi.
Tusubiri Tuone
 
Sote tunajua umaarufu wa ndugu Polepole umekuja baada ya misimamo yake iliyotokana na rasimu ya katiba mpya ambayo kimsingi inakizana kwa kiasi kikubwa na chama chake. Tujiulize kama hatakuwa mnafiki atahubiri nini ndani ya chama chake?. Ni mabadiliko gani makubwa atayafanya ndani ya chama chake?. Naamini Polepole alimaanisha kile alichokisema wala haikuwa njaa kama wengi wanavyosema. Mabadiliko ya kweli ni kusimamia kile unachohubiri:
1. Serikali 3
2. Kupunguza kwa madaraka ya rais
3. Nafasi za wakuu wa wilaya & Mkoa hazina tija hivyo zifutwe.
3. Ukomo wa ubunge
4. Mawaziri wasitokane na wabunge
5. Tume huru. Na mengine mengi.
Mmh Tumbo lina sauti kuliko akili!
 
Huyo keshalegezwa hana ubavu nafasi aliyo nayo ni ya kutetea chama hata kama kimeboronga asibiri ubunge teule hapo baadaye
 
Walishamjua zamana sana km ilikuwa ni njaa inamsumbua so wameshampa shavu atatulia tuu km moja hapo alipo
 
Unafikiri ni kitu gani husababisha siri za chama kutoka kama sio watu kama hawa ambao kuna mambo huwa hawakubaliani nayo! Madhalani kikao cha chama cha watu 10 tu, bila hata mwandishi wa habari hata 1 kuwemo, pamoja na mikwala kuzuia kutoa taarifa kesho yake mambo yote yaliyojadiliwa yako kwenye magazeti!
Unachosema kinawezekana sana. Lakini naamini kama ana ufahamu makini lazima ajue kwamba historia yake inamfanya awe mtu wa kutiliwa shaka na kufuatiliwa kwa ukaribu sana. Na mwenyekiti wa CCM wa sasa sio mtu wa "kujaribiwa"; anawafahamu watu wake vizuri sana. Kosa kiduchu tu, atajikuta nje kwenye "kilio na kusaga meno". Pia, naamini kwa jinsi nchi yetu ilivyosukwa kimaslahi, jeuri hiyo bw. Polepole hana. Yeye ni mmoja wa wale watu ambao nje ya sekta ya umma/siasa, hana chake bali kuadhirika tu.
 
Back
Top Bottom