nampongeza magufuli,lakini kwa hili la Zanzibar tujikumbushe historia wakati wa mkapa zanzibar ilichafuka jeshi likatoka bara likaenda kuua watu zanzibar na wakazikwa kwa halaiki sasa kwa hili kama busara haitatumika ikitokea fujo{na itatokea kwa sababu chama chenye wafuasi wengi zanzibar...
Mimi mwalimu idara ya msingi nafundisha wilaya ya rombo tarafa ya tarakea mjini,nataka kuhamia wilaya ya moshi vijijini,kwa yeyote aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0756530665
kwa kweli inati hasira chuki nna ghadhabu kuona vitendo kama hivi,yaani kuna watu vijijini wanakufa kwa kukosa shilingi mia ya kununulia paracetamol,kina mama wajawazito wanakosa mia tano ya kununulia gloves,watoto wanakalia vumbi hawana madawati,halaf mtu anaona fahari kwenda kugawa fedha kama...
tatizo la wengi huku jamii forum,ni kuchamngamya mambo kwani kuna uhusiano gani kati ya yeye kumtembelea rais;kuvaa hijab na kutojua kingereza,mbona kama kuna jambo mlikuwa jambo lilikuwa ndani ya vifu vyenu lakin mkashindwa jinsi ya kulianzisha?sasa mkaona mlilete kwa njia hii,hilo si jambo la...
nawapongeza kwa uamuzi huo,na wilaya nyingine muige kama kuna uzembe kwenye wilaya zenu,walim tusikubali kukandamizwa na vijitumishi vinavyokaa ofisin bila kushughulikia stahiki za watu,vinanikera kweli mi huwa natamani kuvilisha AK47 midomoni vifilie mbali, na hususani hivi vinavyohusika na elimu,
ukishasema ni mganga hawez kuwa shekh,huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.