Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Nauza kware wa umri kati ya miezi 2 hadi 3,bei ni elfu 5 kila mmoja,nicheki hapa 0657666740
Tuko Dar es Salaam - Bunju
Nakutumia number kwa DM
We deo benjamin, umetoa wapi takwim hizi za dozi ya mayai? Chanzo nn? Vp na wewe unauza? Au ndo kufanya biashara tu huku? Yai linauzwa buku? Watanzania hata M.A.V.I. ukiambiwa ni dawa utanunua/utakula.
Chanzo : quailfarm(dot)co(dot)uk
Itaendelea.
na kuhusu soko la uhakika linapatikanaje?namaanisha ukishakuwa nao na unataka kuwauza soko la uhakika linapatikana wapi?
We deo benjamin, umetoa wapi takwim hizi za dozi ya mayai? Chanzo nn? Vp na wewe unauza? Au ndo kufanya biashara tu huku? Yai linauzwa buku? Watanzania hata M.A.V.I. ukiambiwa ni dawa utanunua/utakula.
Biashara Matangazo mkuu
Kama umesoma biashara kuna kitu kinaitwa P tatu za biashara.
Place - Eneo
Price - Bei
Product - Bidhaa na mwisho
Promotion - Matangazo, kwa hiyo kufanikiwa kwenye biashara yoyote matangazo ni muhimu
Usikae na bidhaa yako mkononi, julisha ndugu jamaa na marafiki.
Yai la kware lina nini cha tofauti?
Mayai ya Kwale, Vifaranga na Chakula cha Kwale vinapatikana.
Wasiliana na Kwale Bora Ltd
Simu namba: 0654 163 784
Barua pepe : kwalebora@gmail.com
www.facebook.com/kwalebora
www.twitter.com/kwalebora
Safi sana nitawatafuta, nahitaji chakula cha Kwale, Kwale wangu wamepunguza utagaji