Walichokifanya kipo sahihi kwao, lkn wanajisumbua sana. Shida si kuwepo kwa Corona Tanzania, shida ni kwamba hata kwao ipo. Hivyo ni ngumu kumshauri mtu wakati tatizo hilohilo analoliptia mwenzako linakutoa jasho.
Kwao watu wanakufa kwa kiwango kikubwa kwa siku lakini ushabiki wote upo Tanzania...
Kupenda ua na boga lake ni msemo ulio kwny nadharia sana. Upendo ni kitu kigumu kwny utendaji, lakin chepesi kwny usemaji. Hii ni kwasbb upendo una vipimo tofauti tofaut wakati wa furaha na wakati wa shida. Mwanaume anaweza akahudumia watoto wote (mpk wa kambo) lkn bdo akawa na dhamira binafsi...
Mara nyingi katika mahusiano kama yako, hautatokea kipindi kirefu ambacho mambo yako yatatulia. Labda mtafikia wakati ambapo kila mmoja au mmoja kati yenu atagundua kuwa mmepotezeana muda na haina budi kuendelea tena… au mwanaume atasitisha ahadi kutokana na hali ya kimaisha au hisia kubadilika...
Huo ni wakati wa mabadiliko ya akili baada ya mabadiliko ya mwili na hisia. Hiko ni kipindi ambacho kwa baadhi hawavutiwi na msichana/mvulana kwa muonekano, au kujiprndekeza kwake kwako. Lkn wengi hujiweka mbali kihisia na wapenzi wao sbb ya waliyoyapitia, waliyoshuhudia au waliyosikia. Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.