Huwezi kuwa muzalendo ktk hili ...kuna kitu kimejificha...uongozi na mugombe wa cdm ndo walifungua kesidhidi ya ccm ina maana hawakukubaliana na ushindi wa ccm, chama kikiamua kitu ni maamzi ya wanachama wote hata kama hupendi tafuta namna halali ya kuonyesha hisia zako. Tushirikiane kwa kila...
Hakuna dalili ya huko tunakoenda kuwa maisha ya watz yatakuwa mazuri ila dalili ni kuwa yatakuwa magumu zaidi, wenye nafasi watanemeka na wasionazo wataendelea kupigika, hali hii itakua mbaya kwa ccm na hali nzuri kwa cdm, kama ccm wanaahitaji kuwa madarakani ni vyema wabadili mwelekeo wa maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.