Tunashukuru sana kwa kuchukua muda wako wa thamani, kuacha kufanya mambo yako na kutupa sisi maarifa haya ambayo ni adimu sana maana wengi waliofanikiwa huwa hawapendi kushea siri zao za mafanikio lkn kwako umekua tofauti, hakika M-ngu unayemuamini aendelee kukupa haja ya moyo wako, akubariki...
Tafuta hospital za serikali au binafsi ujitolee ili upate uzoefu, na kazi utapatia huko huko hiyo ni moja ya kozi ambazo ajira zake hata interview huwa hamna kutokana na uhitaji mkubwa wa wataalam wa vifaa tiba.
Ila kama hutaki kufanyia kazi elimu yako basi angalia kuna uhitaji gani wa bidhaa...
Anza kwanza biashara ndio utapata majibu yote ya maswali yako, ukiuliza sana hutafanya kitu maana kila mtu ana mtazamo wake na uzoefu wake tofauti ambapo mitazamo yao haikuzuii wewe kufanikiwa wala wewe kufeli.
Anza kwanza biashara ndio utapata majibu yote ya maswali yako na utajua urekebishe wapi, uendelee au uache, ukiuliza sana hutafanya kitu maana kila mtu ana mtazamo wake na uzoefu wake tofauti ambapo mitazamo yao haikuzuii wewe kufanikiwa wala kufeli.
Kama ni mtumiaji wa mabasi ya mwendokasi utanielewa hiki nachotaka kusema, imekuwa ni kero ya muda mrefu na sasa imezidi maradufu kwa sisi watumiaji wa mabasi yaendayo kasi na bahati mbaya hatuna pa kusemea.
Kujazwa kwenye mabasi, kukalishwa muda mrefu kwenye foleni ya kusubiri mabasi, kukata...
Sababu bado ni mwanafunzi nakushauri usianzishe biashara maana itakusumbua usimamizi.
Kwa experince yangu chukua iyo pesa weka UTT Liquid fund ambayo kwa mwezi una uhakika wa kupata mpaka laki nne kama faida ambayo hujaifanyia kazi na haina risk. Tofauti na biashara ambayo haikupi uhakika...
Nakujibu lakini naomba pia unijibu maswali yangu niiliyokuuliza kwenye last quote sababu huu ni mjadala wa kuelimishana na wala si kushindana so mimi pia napenda kujifunza kutoka kwako huenda nikapata kitu kipya na nikabadili mtazamo wangu.
Kwangu maandiko yanathibitisha kuwa kilichofanya mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.