Recent content by AGGRESSIVE

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushuhuda wangu sitasahau: Niliwacheka sana wanaochapiwa wakati huo huo na mimi kumbe nachapiwa sana kama ngoma

    Tulia uandike vzr unawahi nini mkuu!!
  2. A

    JamiiForums Tanzania Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    Hili umesema wewe na umepima kwa macho tu, ukishatokea mgogoro kama huu mambo huwa ni tofauti kabisa.
  3. A

    JamiiForums Tanzania Ni jinsi gani naweza kupata matunzo ya mtoto aliyetelekezwa kutoka serikalini au ustawi wa jamii?

    TUMESIKIA UPANDE 1 WA MLALAMIKAJI HATUJASIKIA UPANDE WA MLALAMIKIWA. MARA NYINGI INAPOTEKEA HALI KAMA HII HUWA KUNA SABABU, LABDA MWANAUME ANA MASHAKA NA UHALALI WA MTOTO WAKE, AU KUNA MENGINE PIA. Mnaoshauri mnasema aende ustawi wa jamii au mahakamani, Je mwanaume ukikataa kuwa si mwanao...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Neno Mungu lina nichefua sana mtu akilitaja

    Nasoma comment tu wakuu
  5. A

    JamiiForums Tanzania Naomba serikali ifanye utafiti kubaini chanzo na tiba ya tatizo hili

    Tafuta pesa kitaisha chap
  6. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na Godbless Lema Kutua nchini Tanzania kabla ya tarehe 21/01/2023

    Wao waje wasije sisi tupo tunapambana debe la mahindi limefikia 25 elfu, Hivo njaa ni kali huku. Wanasiasa wana mbinu nyingi sana za kucheza na akili zetu, so waje tu muwape kura tena 2025 siyo mbali.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu wana JF hawakijui?

    Jf kuna memba zaidi ya laki 5 sasa kama kitu hicho hakijulikani kwa watu laki 5 basi hakipo kabisa duniani. Na kumbuka humu kuna watu waliobarehe tu watoto wako FB. Case closed
  8. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaokuwa na mpenzi zaidi ya mmoja mnawezaje?

    Sababu za shida yako 1. Uchumi wako siyo mzuri labda 2. We bado ni mwnfnz katika idara hii 3. Ndiyo umeanza haya mambo 4. Nguvu zako za kiume labda hazitoshi. Watu,tunamiliki zaidi ya wanawake hata 8 kati ya hao unapenda 1 zaidi, 2 kiasi fulani hlf 5 hawa huna ramani nao isipokuwa cku tu...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mtoto mchanga ameokotwa Madale

    Mungu amsaidie daim
  10. A

    JamiiForums Tanzania Bungeni: Milipuko ya mabomu Mbagala yatafuna Tsh. Bilioni 17.4

    Mbona pesa nyingi sana na bado wanadai?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Kusambaza Mitungi ya Gesi anataka kuwa Rais?

    Sijawahi kumuelewa huyu waziri,,mpaka leo sijuw kwa nini alipewa,wizara nyeti kama zilivyo nyeti zetu huyu mtu sielewi kabisa. Hakuna wizara aliyowahi kupewa akafanya kazi,na kuwa mfano wa Kuigwa huyu ni lege lege hana ubunifu hana la kujifunza kutoka kwake. Unagawa mtungi wa gas, ukiisha...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Xi Jinping amualika Rais Samia China

    Naunga hoja,,awe makini na mikopo yao,,wanakuonesha ramani matata na kukupa mchongo kuwa wakikukopesha ukajenga kitega uchumi fulani pesa utapiga za kutosha baada ya kukubali huo mkopo huwa haulipiki na mwisho wanachukua hilo eneo na kuwa lao daima.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

    Naunga mkono waliotekeleza jambo hilo la haki, maana ukimpeleka polisi ni dana dana tu
  14. A

    JamiiForums Tanzania Ni wapi naweza kupata uniform kama za Qatar Airways?

    Kuna uzi niliona kuwa kuna jamaa anakula hela za watanzania wenzetu kwa KUJIITA yeye ni wakala wa QATAR AIR hivo ukitaka kazi kule ni sekunde tu coz yeye ni wakala. Afadhali isiwe wewe mkuu maana mkimaliza maongezi unampa kabisa na UNIFORM na kumwambia asubir cm tu ya kwenda kazini, itakuwa...
  15. A

    JamiiForums Tanzania Hotel ya nyota 5 yenye ghorofa 40 ujenzi wake wakamilika karibu na uwanja wa Kiligolf maji ya chai Arusha

    Uzi,kama huu bila picha tunaona kama machungu tu,,umeshindwa hata kuja na picha
Back
Top Bottom