Recent content by Aggape

  1. Aggape

    Serikali ya Tanzania kuingiza nchini ndege 2 za kisasa kutoka Canada ndani ya siku 60

    Mungu asaidie zisijekuwa kama mitambo ya ufuaji umeme
  2. Aggape

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimu ANITHA wa GEITA MJI,Shule ya Sekondari Kalangalala,anatafuta Mwalimu wa kubadilisha naye kituo cha kazi kutoka Morogoro Manispaaa. Kama kuna Mwalimu yupo tayari wawasiliane kwa simu namba 0719-222 132.
  3. Aggape

    Taarifa kwa Umma kuhusu upotoshwaji wa ugonjwa wa homa ya Dengue

    ugonjwa haupo hilo ni changa la macho ili wananchi eazubae na watu wapigepesa tushawazoea hii serikali,nijanja ujanja tuu hapo kunadili linasukwa ili livushwe wananchi msizubae,jiulizeni mbona hao wagonjwa wa hiyo dengue hawaoneshwi au hawaonekani wakati wakuripotiwa?
  4. Aggape

    Ajira za walimu 2013/2014 zasitishwa.

    Sasa muda wowote pesa itapatikana,sindio hadi mwakani sasa
  5. Aggape

    Zitto Kabwe: Nitataja majina ya vigogo walioficha fedha nje kwenye kikao kijacho

    Sawa kaka acha tuone kama watatajwa,maana hata Lukuvi alidai akiwataja wahusika wa dawa za kulevya waheshimiwa wote bungeni watahusika,hivyo likapita nakuwekwa pembeni namambo yanaendelea,sasa Zitto sielewi
  6. Aggape

    Utawala Bora: Naibu Waziri Ghana afukuzwa Kazi kwa Kauli yake!

    Hakuna wakumfukuza kazi mwenzie maana wote wanahitaji hizo pesa
  7. Aggape

    interview pccb

    Mnafikiri itachukua kama muda gani hivi,ili watu waitwe kwenye usaili?
  8. Aggape

    Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

    Mmmh hali tete mbona
Back
Top Bottom