Mwalimu ANITHA wa GEITA MJI,Shule ya Sekondari Kalangalala,anatafuta Mwalimu wa kubadilisha naye kituo cha kazi kutoka Morogoro Manispaaa.
Kama kuna Mwalimu yupo tayari wawasiliane kwa simu namba 0719-222 132.
ugonjwa haupo hilo ni changa la macho ili wananchi eazubae na watu wapigepesa tushawazoea hii serikali,nijanja ujanja tuu hapo kunadili linasukwa ili livushwe wananchi msizubae,jiulizeni mbona hao wagonjwa wa hiyo dengue hawaoneshwi au hawaonekani wakati wakuripotiwa?
Sawa kaka acha tuone kama watatajwa,maana hata Lukuvi alidai akiwataja wahusika wa dawa za kulevya waheshimiwa wote bungeni watahusika,hivyo likapita nakuwekwa pembeni namambo yanaendelea,sasa Zitto sielewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.