Taarifa kwa Umma kuhusu upotoshwaji wa ugonjwa wa homa ya Dengue

Attention inatafutwa...
Namna ya kutengeneza propaganda ni tatu
1. Problem=> Dengeu
2. Reaction=> Msahau serikali tatu
3. Solution => Msivae nguo fupi

thanx kwa taarifa ili watu wajue kuna dengeu
 
Kina manyaunyau mbona hawachangamkii hii fursa? Maana sijaona hii kitu ya dengue kwenye mabango yao!
 
Hapa lengo wala si kutoa taarifa kwa umma,ni mpango wa kupiga hela siku chache zijazo. Hii ndo Tanzania bhaana!

Nimependa wanavo pulizia mabasi halafu wanaacha coaster na fuso maana nazo zinakwenda nje ya Dar. Lakini magari madogo pia!
 
Maccm na serikali yenu lini mlijali afya za wananchi wenu? Hapo mmepanga mikakati kabambe ya kuwazubaisha wanchi juu ya mambo ya bungeni,KATIBA MPYA,200b,na bajeti za huko bungeni maana mmevurunda tayari kama kawaida yenu.
 
TUMESHITUKA!!!! Mnataka kutusahaulisha tu kuhusu Katiba Mpya. NO WAY!!!! Kwanza, Katiba Mpya; Pili, Katiba Mpya; Tatu, Katiba Mpya; Nne, Katiba Mpya; Tano, Katiba Mpya; Sita, Katiba Mpya; Saba, Katiba Mpyaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
Nakuunga mkono. Wanainua mambo utadhani yana uzito mkubwa hivyo! Tuko na Katiba Mpya tu sisi..
 
Duh, kweli huenda ikawa move hii, ila jamaa alie iratibu kapiga fyeeza,
Hivi na nchi za wenzetu nao wapigaji kama tz? Au kwa kuwa IQ ya mkuu wa kaya imekAa kipigaji!?
 
KAMA NGUVU HII ya KUITANGAZA DENGUE ingekuwa sawa na uletaji wa vifaa vya kupimia ingekuwa safi sana.
 
Mbona kama Dengue ipo mbona kinga yake inatofautiana na maelezo ya awali. Kwanza taarifa zilisema mbu wa Dengue a.k.a Masharobalo hupenda maji masafi, sasa wizara inasema tufukie maji yaliyotuama. Pili Masharobalo hao huuma mchana, wizara inasema tutumie vyandarua au wataleta vya muundo wa miamvuli? Kifupi hapa ni kupiga deal kwa kwenda mbele kama kikombe cha babu.
unajitoa ufahamu au ni nni? hujaona haya maelezo? .............Tumia vyandarua vilivyosindikwa viuatilifu (kwa wale wanaolala majira ya mchana na hasa kwa watoto)
 
CCM wanatafuta mwanya wa wizi wa mabilioni ya pesa kwa mgongo wa Dengue! Shame on you! Nyie magamba mnastahili adhabu hii:

bees.jpg
 
Wameshindwa kushughulikia marelia miaka yote ambayo hata idadi yake dawa doctor, hajui leo wameshikia bango ugonjwa ambayo dawa yake ni maji na panadol. hii ni siasa za ccm kuwalaghahi wananchi wasahau katiba mpya
 
Haya ndiyo matatizo ya serikali kujiingiza kwenye mambo ya propaganda, sasa wananchi tumeshapoteza nao imani. Hata kama wakiwa serious tunajua ni propaganda tu hizo.
mkuu sijakuelewa hapo, wafanye propaganda ya nini kwenye suala hili?
 
ugonjwa haupo hilo ni changa la macho ili wananchi eazubae na watu wapigepesa tushawazoea hii serikali,nijanja ujanja tuu hapo kunadili linasukwa ili livushwe wananchi msizubae,jiulizeni mbona hao wagonjwa wa hiyo dengue hawaoneshwi au hawaonekani wakati wakuripotiwa?
 
We unaejiita Agape mpuuzi kweli Tomaso mkubwa ndo maana mnaangamia kwa kukosa maarifa mimi mwenyewe ninaumwa dengue week sasa sijapona alaf unasema ugonjwa huu haupo ....nyie primitive mkiumwa mnakimbilia kwa waganga mmelogwa. ...
 
We unaejiita Agape mpuuzi kweli Tomaso mkubwa ndo maana mnaangamia kwa kukosa maarifa mimi mwenyewe ninaumwa dengue week sasa sijapona alaf unasema ugonjwa huu haupo ....nyie primitive mkiumwa mnakimbilia kwa waganga mmelogwa. ...

Sasa primitive ni nani?wewe ligonjwa au aliyejikinga na anakushangaa?? eti unaumwa wiki sasa wakati serikali ilitangaza zaidi ya wiki jinsi ya kujikinga, ni kwa nini haukujikinga alafu unajiona mwenye akili? acha kutukana wenzio !!
 
serikali wanawajua Watz ni wepesi sana kusahau mambo ya muhimu huwa ni kama "upepo" unapita
 
Back
Top Bottom