Imgeletwa bbc na CNN Kwa hakika ungesema ni propaganda za uongo, niliwahi kuona wananchi wa Palestine walipokuwa wanahama kutoka kaskazini mwangaza kwenda kusini wakiilaani Hamas Tena taarifa ipo BBC
Isis, Hamas, boko Haram hao wote wanatumia watoto kufanya ugaidi na ushahidi upo. Ninauhakika unauwezo mkubwa Sana wa kufikiri ila unajitia upofu na kujifanya unashangaa watoto kutumika kwenye ugaidi na hayo makundi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.