Recent content by AgentX

  1. AgentX

    JamiiForums Tanzania Mliofanikiwa kufuta vyeti utumishi ajira portal

    Kuna jambo nahitaji misaada. Ktk profile yangu kuna academic qualifications 2 yaani CSE na basic driving. Nataka niombe kazi kupitia cheti cha CSE pekee. Mfumo unakataa unaandika failed. Check academic qualifications requirement for the post. Sina vyeti vingine nimeweka zaidi ya hivyo... Je...
  2. AgentX

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

    Umeongea point sana, The only reason ambayo Iko valid Kwa single mother ambaye hatakiwi kubaguliwa it's either baba wa mtoto amefariki au alikuwa amebakwa. Period !
  3. AgentX

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuishi na Mtoto wa kufikia ni jukumu zito sana

    My Best friend tumezinguana kisa ushauri wa kumkataza asidate na single mother kwaajili ya scenario kama hizi. The sad story mwanzoni alikuwa anakuja na kuondoka ila mpaka Sasa ameamisha majeshi kabisa..... Kuna mda nakaa nawaza Kwa sauti, itakuwa ndumba zimehusika.... Desperate times, desperate...
  4. AgentX

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama hupendi kelele usioe

    Wanawake wote mwalimu wenu mmoja alafu kipofu period.
  5. AgentX

    JamiiForums Tanzania Kitu gani umewahi kukifanya ukajivunia na kujipongeza mwenyewe?

    Kulipa Kodi ndani ya January hii. Asikwambie mtu wewe Kodi iliisha Toka December . Alafu still Jobless.....
  6. AgentX

    JamiiForums Tanzania Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

    Naandika nafuta. Dah!
  7. AgentX

    JamiiForums Tanzania DTF MACHINE for T-shirt Print

    Call 0659167416
  8. AgentX

    JamiiForums Tanzania DTF MACHINE for T-shirt Print

    Ziko DTF mbili Kuna newkins Ambayo ni used na pia Kuna DTF za kampuni ya YingHe ambazo ni mpya na accessories zingine Kama 8 in 1 Heat compressor, Kuna paper cutter machine, kuna inks na cleaning solvent za kampuni ya YingHe Ni vyema ukanicheki nikupe Bei za Kizalendo na pia nauza printers...
  9. AgentX

    JamiiForums Tanzania Steamer iron

    Kuna Kama hii used black in color ínataka 150,000 ipo kariakoo ni used Ila unapiga kazi Kama kawa nipigie 0659167416
  10. AgentX

    JamiiForums Tanzania Nauza Spare Kwa Bei ya Kitonga

    Ok
  11. AgentX

    JamiiForums Tanzania Laptop, Printers , Photocopies, and Other Stationaries

    Laptop [emoji335] Printers [emoji2774] Stationers [emoji3581] Nipigie simu +255659167416 Tufanye biashara Bei za Kizalendo
  12. AgentX

    JamiiForums Tanzania Printers na Laptop Nicheki 0659167416

    Hizi hapa mkuu nadhani app yenyewe
  13. AgentX

    JamiiForums Tanzania Printers na Laptop Nicheki 0659167416

    Kuna hiyo laptop hapo ukinunua unapewa na router ya tigo bure samahani kwa any inconveniences. The price is 600k
  14. AgentX

    JamiiForums Tanzania Printers na Laptop Nicheki 0659167416

    Kama una mahitaji ya printers na Laptop na photo printer na copiers Nicheki ktk namba ya Simu 0659167416 Whatsapp/ Telegram / sms/ call [emoji1690] nikupe Bei za Kizalendo
Back
Top Bottom