kanisa la wasabato pia haliungi mkono chanjo hiyo wala si gwajima pekee, imesemwa chanjo ni hiari kwa nini wanaoikosoa muwaone wahalifu, wewe na wenzio inaowapendeza chanjeni kwa wingi na kwa kujirudiarudia kadri muwezavyo, hakuna atakae wauliza.
Ufanisi ktk usimamizi na matumizi ya rasilimali zetu unachagizwa kwanza na uzalendo wa viongozi wetu, na pili umakini, utashi na maono mapana kuhusu rasilimali hizo na si uanzishwaji wa wizara kwa kila jambo. Hata tungekuwa na wizara 100 bila hayo ni kazi bure!
Ktk haya unayoyasema, mtu aliekuwa anaaminika pasi na shaka ni mwendazake, kwa mama nadhani anategemea sana washauri ambao wengi si waaminifu, uzoefu umeonyesha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.