habar zenu wakuuu! binafsi niko powa,,nielekee kwanza kwenye mada mimi ni mjasiriamali nahtaj kufungua kibanda cha mpesa na tigo pesa ila kwa bahat mbaya sina kitambulisho chochote cha utaifa ambacho kingenisaidia kujisajili binafsi kama wakala pia process za kufatilia kitambulisho ni ndefu...
Kwani hko kupokea cm unakokilalamikia shida ako inakua ni nin haswa ???
we huna shughul ya kukuweka bize na kama ungekua nayo usingelikua hapa unajib kila comment ya mtu
Ushaul wang ni "jarib kupambana na hal yako mkuu"
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mke wa mtu mkuu
Yan kwa tafsil ndogo utamtunzia yule jamaa familia yake mkuu cku akirudisha majeshi yake ndo utakapoelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.