Mulishalipa nauli na kupewa tiketi zinazoendana na daladala mliyopanda?
Kama ni hivyo askari angetakiwa kuacha gari liwafikisheni safari zenu kisha lirudi kituoni; au apange na konda awarejeshee pesa yenu au kuwatafutia usafiri mwingine.
Ila mbona hakuna tatizo la kusolve hapo?
1. Wewe umetikisa kiberiti
2. Yeye kamwaga njiti
Sikukuu zikiisha rudi kwake mwambie umemsamehe penzi lenu liendelee. Umeokoa pesa nyingi sana za sikukuu.....
Mtu yeyote anaruhusiwa kuingia kanisani au msikitini bora yuko sawa tu. Mpagani, freemason, Sho*a, asiyejua kusoma wala kuandika, professor nk
Wengine tushasali kanisani, msikitini, temple na ghetto kikubwa Mungu hana ubaguzi na kanisa au msikiti sio private property
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.